Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,432
- 746
- Thread starter
- #41
Ha ha ha ha ha ha ha, ila bado unakuwa most wanted na pia mlolongo wake wa kukimbia unahitaji watu wengi kama ilivyofanyika kabla ya kuingia kwenye ndoa na pia ile hadhi ya kuwa mwanandoa haifutiki inabadilishwa jina kidogo tu inabaki kuwa aliyeachika au kuachwa aliolewa au alioa fulani, tofauti na bachelors wao wakishindwana kila mtu anakwenda kivyake hakuna wa kuhoji
dancani...
Last edited by a moderator: