Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,850
Wakuu salaam
Hawa viumbe ukiwafukuzia sana wanakukwepa utadhani hawana uhitaji kabisa na mwanaume, mpaka unajiuliza hicho kichongeo kapewa cha nini. Mbaya sana ikitokea amekukubalia baada ya kumkazia sana huko katikati ya mapenzi kunakipindi atakupiga mkwara ""kwani nilikuambia siwezi kuishi bila mwanaume"
Hii inapelekea sana wao kujiona hawana uhitaji na sisi kabisa je, hi dhana imekaaje mkuu
Hawa viumbe ukiwafukuzia sana wanakukwepa utadhani hawana uhitaji kabisa na mwanaume, mpaka unajiuliza hicho kichongeo kapewa cha nini. Mbaya sana ikitokea amekukubalia baada ya kumkazia sana huko katikati ya mapenzi kunakipindi atakupiga mkwara ""kwani nilikuambia siwezi kuishi bila mwanaume"
Hii inapelekea sana wao kujiona hawana uhitaji na sisi kabisa je, hi dhana imekaaje mkuu