Hivi ni kweli uchawi upo Duniani ?

Hivi ni kweli uchawi upo Duniani ?

Mwanamke wa mithali 31

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2024
Posts
1,339
Reaction score
3,094
Hii imekaaje jamani...

Leo usiku majira ya sa 8 kasoro niliamka na kutoka nje

Kuna kitu nilisahau nilienda kuchukua hapo nje ( ndani ya fence)

Nilivyofika kwenye varanda la nje sijui nini kilitokea

Mimi nilianguka sehemu ambayo hata mtoto mchanga anayejifunza kutembea hawez kuanguka

Nilianguka ( sikujitambua nikiwa nimelala hapo chini sikua na fahamu yeyote) baada ya dakika kama 30 nilianza kupata fahamu na kujiona nimelala chini varanda la nje

Nilishangaa nimelalaje mahali pale nikakumbuka nilitoka kufata kitu ...sasa kila nilipotaka kuamka nilishindwa as if nakandamizwa chini

Sikua na nguvu kabisa nililegea na kuchoka

Badae sana nikaweza kuamka na kurudi ndani

Kichwa kilikua kizito

Kinauma

Nasikia kizungu zungu na kutapika

Hadi sasa bado najiuliza ilikuaje kuaje bado sijaelewa

Na bado mwili haujakaa sawa

Hii itakua ni nini jamani ?
 
Hii imekaaje jamani...

Leo usiku majira ya sa 8 kasoro niliamka na kutoka nje

Kuna kitu nilisahau nilienda kuchukua hapo nje ( ndani ya fence)

Nilivyofika kwenye varanda la nje sijui nini kilitokea

Mimi nilianguka sehemu ambayo hata mtoto mchanga anayejifunza kutembea hawez kuanguka

Nilianguka ( sikujitambua nikiwa nimelala hapo chini sikua na fahamu yeyote) baada ya dakika kama 30 nilianza kupata fahamu na kujiona nimelala chini varanda la nje

Nilishangaa nimelalaje mahali pale nikakumbuka nilitoka kufata kitu ...sasa kila nilipotaka kuamka nilishindwa as if nakandamizwa chini

Sikua na nguvu kabisa nililegea na kuchoka

Badae sana nikaweza kuamka na kurudi ndani

Kichwa kilikua kizito

Kinauma

Nasikia kizungu zungu na kutapika

Hadi sasa bado najiuliza ilikuaje kuaje bado sijaelewa

Na bado mwili haujakaa sawa

Hii itakua ni nini jamani ?
Mkuu pole sana. na tatizo la kiafya au kuna kitu hakipo sawa kwenye mwili wako. Huu siyo uchawi.
 
Hii imekaaje jamani...

Leo usiku majira ya sa 8 kasoro niliamka na kutoka nje

Kuna kitu nilisahau nilienda kuchukua hapo nje ( ndani ya fence)

Nilivyofika kwenye varanda la nje sijui nini kilitokea

Mimi nilianguka sehemu ambayo hata mtoto mchanga anayejifunza kutembea hawez kuanguka

Nilianguka ( sikujitambua nikiwa nimelala hapo chini sikua na fahamu yeyote) baada ya dakika kama 30 nilianza kupata fahamu na kujiona nimelala chini varanda la nje

Nilishangaa nimelalaje mahali pale nikakumbuka nilitoka kufata kitu ...sasa kila nilipotaka kuamka nilishindwa as if nakandamizwa chini

Sikua na nguvu kabisa nililegea na kuchoka

Badae sana nikaweza kuamka na kurudi ndani

Kichwa kilikua kizito

Kinauma

Nasikia kizungu zungu na kutapika

Hadi sasa bado najiuliza ilikuaje kuaje bado sijaelewa

Na bado mwili haujakaa sawa

Hii itakua ni nini jamani ?
Iombee hilo eneo
 
Lucas Mwashambwa
Screenshot_20250728-213530.png
 
Hii imekaaje jamani...

Leo usiku majira ya sa 8 kasoro niliamka na kutoka nje

Kuna kitu nilisahau nilienda kuchukua hapo nje ( ndani ya fence)

Nilivyofika kwenye varanda la nje sijui nini kilitokea

Mimi nilianguka sehemu ambayo hata mtoto mchanga anayejifunza kutembea hawez kuanguka

Nilianguka ( sikujitambua nikiwa nimelala hapo chini sikua na fahamu yeyote) baada ya dakika kama 30 nilianza kupata fahamu na kujiona nimelala chini varanda la nje

Nilishangaa nimelalaje mahali pale nikakumbuka nilitoka kufata kitu ...sasa kila nilipotaka kuamka nilishindwa as if nakandamizwa chini

Sikua na nguvu kabisa nililegea na kuchoka

Badae sana nikaweza kuamka na kurudi ndani

Kichwa kilikua kizito

Kinauma

Nasikia kizungu zungu na kutapika

Hadi sasa bado najiuliza ilikuaje kuaje bado sijaelewa

Na bado mwili haujakaa sawa

Hii itakua ni nini jamani ?
Kwa hili swali tu wewe unamatatizo mawili!, kwanza unahitaji elimu juu ya kuzingatia afya maana kwa hilo lililokupata ulitakuwa uwe umeshaenda hospitali kama haujaenda bado!, pili inatakiwa elimu yakufuta hayo mawazo ya kuwaza uchawi hayo mambo yakiimani ni ubatili mtupu!.
 
Back
Top Bottom