Hivi ni kweli Msanii Darasa anakula unga?

Hivi ni kweli Msanii Darasa anakula unga?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,501
Reaction score
3,342
Mtaani kuna habari zinasambaa kwa kasi kuwa msanii wa hit song ya muziki, Msanii Darasa anakula unga. Juzi kati nikafanikiwa kumuona kwenye Clouds Tv kwenye show ya jiwe la mwezi pale Morogoro jamaa amepungua sana halafu muda wote alikuwa ana wenge sana.
Je tetesi hizi zina ukweli kiasi gani?
 
Mtaani kuna habari zinasambaa kwa kasi kuwa msanii wa hit song ya muziki, Msanii Darasa anakula unga. Juzi kati nikafanikiwa kumuona kwenye Clouds Tv kwenye show ya jiwe la mwezi pale Morogoro jamaa amepungua sana halafu muda wote alikuwa ana wenge sana.
Je tetesi hizi zina ukweli kiasi gani?
Kama yupo na hao basi ngoja tumkumbuke Ngwair
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom