ni raisi asiyekaa magogoniHizi kauli za Lowassa kuwa hakutaka kuingia Ikulu kwa kumwaga damu anazozitoa katika kampeni za udiwani zina maana gani?
yap kweli aliwahi sema alisukumizwaALISHINDA.. Yes EL ALISHINDA.
Matokeo aliyaharibu yule Jaji Kipara Mkiti wa Tume wakisaidiwa na wale jamaa wa IT waliokuwa chini ya February..
Uzuri hili hata Pogba analijua fika kuwa HAKUSHINDA.
Anamaanisha Angefanya kama anayoyafanya Odinga kule Kenya kwa sasa.Ameonaakiingia ikulu bila yakumwaga damu inapendeza zaidiHizi kauli za Lowassa kuwa hakutaka kuingia Ikulu kwa kumwaga damu anazozitoa katika kampeni za udiwani zina maana gani?
Uliza akina jecha ndio wanajua kazi yaoHizi kauli za Lowassa kuwa hakutaka kuingia Ikulu kwa kumwaga damu anazozitoa katika kampeni za udiwani zina maana gani?