Hivi ni kweli anavyosema kipanya?

Hivi ni kweli anavyosema kipanya?

kp03122012.jpg



Anao Kikwete na kwa kuwa katudanganya ndiyo maana kila siku yuko safarini kwani hataki kuwekwa kiti moto kwa sababu hana jibu.
 



Huo mpambano hauna faida kwetu bali ni hasara tupu kwa sababu kiongozi atakayekuja ataiba maradufu zaidi ya Kikwete na ukizingatia kuna hii gesi ya Mtwara inayokuja...hapa ndipo tutauana. Viongozi watarogana na sie wananchi tutaandamana kutaka mapinduzi.
 
Back
Top Bottom