Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
kati ya kila Wanafunzi 10 wanane hawajuwi kuandika wala kusoma.......
Ni kweli kabisa mkuu. Na hipo amekadiria tu ila idadi inaweza kuwa kubwa kuliko aliyoitaja.
Tuhakikishie coz no research no right to speak
Ni kweli kabisa mkuu. Na hipo amekadiria tu ila idadi inaweza kuwa kubwa kuliko aliyoitaja.
Tume ina kazi ngumu sana na inahitaji umakini mkubwa kufanya kazi zake