Tunaendeshwa na kudanganywa kama wajinga fulani hivi, watu kama wewe MziziMkavu pamoja nami tukilalamika hadharani tunamwagiwa tindikali au hata kuuwawa na vibaka waliotumwa na viongozi. CCM ni shetani na adui wa haki ya mtanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.