Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,256
- 219,479
Ving'amuzi vinavyotumiwa na watu wengi nchini Tanzania vya DSTV na AZAM vimezima local channels zote na kubakisha TBC peke yake , lakini cha kushangaza wananchi hawataki hata kuangalia local channel pekee inayopatikana kwenye ving'amuzi hivyo pamoja na kwamba gharama yake ni bure !
Hii inamaanisha nini ?
Hii inamaanisha nini ?