Hivi ni Kwanini Wanajeshi...

Hii habari Ni ya kweli au Ni habari kutunga, ukamilishe chuki zako juu ya jamii fulani. Kugombea mwanamke, sidhani siku hizo bado mwanamke anagombewa, Labda nyie mtakua wanywa mataputapu, maana zile ni pombe zisizo ustaarabu. Ila nikwambie tu Jeshi la Tanzania kwa sasa wengi Wao tunaishi nao wenzetu Na tunashirikiana nao vizuri maana wengine ni majirani zetu, siku zote mwombe Mungu akuondolee mtizamo wa Chuki. Maana ukiwa Na mtizamo huu, ukipishana lugha mtu mfano: Mwalimu, utaona umekosewa na walimu wote, hata Kama jambo lenyewe linahusu mipaka ya shamba wa sio kazi yake.
 
Maana naona kama Tanzania yetu hii walim wa UPE ndo wametufundisha kusoma,kuandika na kuhesabu,lakini maprofesa huko chuo hata kudeliver concept hawawez,wasomi ndo wameonekana wezi na wabadhilifu hasaaaa makazini
Ni kweli kabisa angalia hata viongozi wetu wenye elimu kubwa wengi ni wezi. Ngoja nimtaje mmoja ila naogopa kutolewa kucha
 
Baba makutupola&msata ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…