Hivi ni kwanini walaji wa nyama ya nguruwe hufa vifo vya ghafla?

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
Nimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?

Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.

Nawakaribisha wataalamu
 
Nimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?

Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.

Nawakaribisha wataalamu
Wewe ulikula ukafa?
 
Back
Top Bottom