Kwani ninyi kwenu huwa mnapewa taarifa ya kujiandaa kwa ajili ya kufa?Nimekua nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Acha kutisha watu....Nimekua nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Mbona mi sijafa mpaka leo nagonga 49 mkuuNimekua nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
AUOGOPI KUFA KAMA MYWA GONGOAcha kutisha watu....
hiyo nyama tutaila kila siku....
narudia kila siku....
Hujawahi kuniangusha kwa commentsKwani ninyi kwenu huwa mnapewa taarifa ya kujiandaa kwa ajili ya kufa?
upotoshajinguruwe huwezi kumchinja mpaka umtie dole nyuma ndio analala chini
Wewe ulikula ukafa?Nimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.
Nawakaribisha wataalamu
... comment hii na ile #2 ya Consigliere pale juu imefutilia mbali hoja ya kipumbavu iliyotaka kujengwa na mleta mada! Safi sana.Wazee wa dini ya haki! Huwa mnajiandaaga na kifo?