Itakua katumwa na beberu😊😊😊Nani amekutuma??
Dr. Sky eclat tujuze adhari za kula kitimoto mbali na hii ya kupoteza hela nyingi kwenye beer baada ya kula kitimotoHujawahi kuniangusha kwa comments
Nimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.
Nawakaribisha wataalamu
Nitakula nyama ya nguruwe milele .
Namshauri mleta uzi aonje siku moja hatojuta.
HahaaaAkitokea mtu akasema kitimoto inaongeza nguvu za kiume na kufanya k iwe mnato na sio kama dafu. Hakika hii nyama itauzwa mpaka Magomeni mapipa mtaa wa Idrisa
Naona wanaisakama sana mboga pendwa...but hawawezi shinda..wataanguka vibayaAcha ku i diss vibaya hii mboga.
Ina maana Makamu wa Rais Dr. Omary Ali Juma aliyefariki ghafla na yeye alikuwa anatumia hiyo kitu?
Mtuache na mboga yetu
Mr. MTUI hebu ona huyu
Alyekupa hiyo takwimu kakudanganya.Nimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.
Nawakaribisha wataalamu
Sababu ya cysticercosis ambayo ni stage flani ya ukuaji wa minyoo inaingia kwenye ubongo na kusababisha kifo cha gafla aka kifafa, lkn msiogope nguruwe wengi wanapata dawa za minyoo wataalamu wa mifugo wapo pia dawa za minyoo kwa binadamu km plusquntile zipo kama unatatizo la minyooNimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.
Nawakaribisha wataalamu
Nimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.
Nawakaribisha wataalamu
Wewe tulia hivyo hivyo hayo maneno yenu hamjaanza leoNimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.
Nawakaribisha wataalamu