Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,628
Jua kwamba watakacho kifanya sio kwa long term ni kwa matumizi ya muda mfupi, ili serikali ijipange na solution ya muda mrefu.Nilikuwa natizama taarifa ya habari hapa ITV mwanajeshi mmoja anasema walipewa assignment ya kulima hekari 1300 za mahindi wao wakalima hekari 1500.
Jeshi likipewa mradi let's say uishe ndani ya mwenzi 1 wao watakufanyia ndani ya siku 28, 27 au muda kamili. Daraja ikikataa wao ni dk0 wanalisimamisha, hawali rushwa kama kada zinazowafanania, ni nadra kuwakuta wakivunja sheria yaani ni nadra sana sana kukuta mwanajeshi anakula rushwa.
Wakiwa mtaani wengi ni watu wa kujishusha ila ukimchokoza tu ndio utaelewa maana ya mwanajeshi. Mimi sikufanikiwa kupita mafunzo yoyote ya jeshi mpaka nilipoishia kielimu. Natamani sana kujua kuwa ni mafunzo gani hupewa hasa mpaka wanakuwa na nidhamu na weledi wa juu katika kazi.
Mkuu nicheki Pm mimi ni mjeda.
Utatupa rushwa muda gani iwapo ukisogea kijinga jinga tulipo unachimbwa beat
Sisi wenye Bawa mkuu Acha tuwe wasoma comments tuWale wa 92 tunaruhusiwa kukoment humu(?
Mara nyingi wanapokea mshahara bila ya kufanya kazi, ni nadra kuwakuta wana kazi wanayofanya.Nilikuwa natizama taarifa ya habari hapa ITV mwanajeshi mmoja anasema walipewa assignment ya kulima hekari 1300 za mahindi wao wakalima hekari 1500.
Jeshi likipewa mradi let's say uishe ndani ya mwenzi 1 wao watakufanyia ndani ya siku 28, 27 au muda kamili. Daraja ikikataa wao ni dk0 wanalisimamisha, hawali rushwa kama kada zinazowafanania, ni nadra kuwakuta wakivunja sheria yaani ni nadra sana sana kukuta mwanajeshi anakula rushwa.
Wakiwa mtaani wengi ni watu wa kujishusha ila ukimchokoza tu ndio utaelewa maana ya mwanajeshi. Mimi sikufanikiwa kupita mafunzo yoyote ya jeshi mpaka nilipoishia kielimu. Natamani sana kujua kuwa ni mafunzo gani hupewa hasa mpaka wanakuwa na nidhamu na weledi wa juu katika kazi.
Muogope Mungu aisee na shukuru kwa kila jamboMara nyingi wanapokea mshahara bila ya kufanya kazi, ni nadra kuwakuta wana kazi wanayofanya.
EncryptionNilikuwa natizama taarifa ya habari hapa ITV mwanajeshi mmoja anasema walipewa assignment ya kulima hekari 1300 za mahindi wao wakalima hekari 1500.
Jeshi likipewa mradi let's say uishe ndani ya mwenzi 1 wao watakufanyia ndani ya siku 28, 27 au muda kamili. Daraja ikikataa wao ni dk0 wanalisimamisha, hawali rushwa kama kada zinazowafanania, ni nadra kuwakuta wakivunja sheria yaani ni nadra sana sana kukuta mwanajeshi anakula rushwa.
Wakiwa mtaani wengi ni watu wa kujishusha ila ukimchokoza tu ndio utaelewa maana ya mwanajeshi. Mimi sikufanikiwa kupita mafunzo yoyote ya jeshi mpaka nilipoishia kielimu. Natamani sana kujua kuwa ni mafunzo gani hupewa hasa mpaka wanakuwa na nidhamu na weledi wa juu katika kazi.
Uzalendo Uzalendo Uzalendo hicho ni kitu muhimu Sana.Nilikuwa natizama taarifa ya habari hapa ITV mwanajeshi mmoja anasema walipewa assignment ya kulima hekari 1300 za mahindi wao wakalima hekari 1500.
Jeshi likipewa mradi let's say uishe ndani ya mwenzi 1 wao watakufanyia ndani ya siku 28, 27 au muda kamili. Daraja ikikataa wao ni dk0 wanalisimamisha, hawali rushwa kama kada zinazowafanania, ni nadra kuwakuta wakivunja sheria yaani ni nadra sana sana kukuta mwanajeshi anakula rushwa.
Wakiwa mtaani wengi ni watu wa kujishusha ila ukimchokoza tu ndio utaelewa maana ya mwanajeshi. Mimi sikufanikiwa kupita mafunzo yoyote ya jeshi mpaka nilipoishia kielimu. Natamani sana kujua kuwa ni mafunzo gani hupewa hasa mpaka wanakuwa na nidhamu na weledi wa juu katika kazi.
Kuna mambo mengi ndani ya jeshi. Hayo uliyotaja ni yale unayoyajua.Nilikuwa natizama taarifa ya habari hapa ITV mwanajeshi mmoja anasema walipewa assignment ya kulima hekari 1300 za mahindi wao wakalima hekari 1500.
Jeshi likipewa mradi let's say uishe ndani ya mwenzi 1 wao watakufanyia ndani ya siku 28, 27 au muda kamili. Daraja ikikataa wao ni dk0 wanalisimamisha, hawali rushwa kama kada zinazowafanania, ni nadra kuwakuta wakivunja sheria yaani ni nadra sana sana kukuta mwanajeshi anakula rushwa.
Wakiwa mtaani wengi ni watu wa kujishusha ila ukimchokoza tu ndio utaelewa maana ya mwanajeshi. Mimi sikufanikiwa kupita mafunzo yoyote ya jeshi mpaka nilipoishia kielimu. Natamani sana kujua kuwa ni mafunzo gani hupewa hasa mpaka wanakuwa na nidhamu na weledi wa juu katika kazi.