Hivi ni kwanini mtu akifa ndio husifiwa sana?

Hivi ni kwanini mtu akifa ndio husifiwa sana?

Kwq sabab zile sifa hanufaiki nazo tena. Hapo hata ugali watamsongea ingawa marehem alikufa na njaa
 
Kipindi akiwa hai watu hulalamika hafai, mbaya ila akifa sifa lukuki.

Au ndio marehemu hasemwi vibaya.

Je ni sahihi binadamu kuwa aliwatendea mema watu wote?
Uhuru wa maoni wa kusema huyu mimi alikua mbaya kuliko wote upo?
Kimya ni bora kwa marehemu, isipokuwa pale ambapo kusema ukweli kuna maslahi ya haki.

Marehemu hana neno Kwanini kumsema vibaya
 
Back
Top Bottom