Sababu kubomoa ni rahisi kuliko kujengaHivi ni kwanini kufanya DHAMBI ni rahisi sana kuliko kufanya mambo MEMA?
Kushuka ni kwepesi kuliko kupandaHivi ni kwanini kufanya DHAMBI ni rahisi sana kuliko kufanya mambo MEMA?
Kama unataka mwonekano mpya... ndo unabomoaKwanini ubomoe wakati ulijenga kwa nguvu na jasho jingi
Because, if you don't sin, then Jesus died for nothing!!
(For believers)
He died for our sins , before we did them.
Kasome Bible yako.
Okay, so tayari kila mtu ana dhambi hata kama hajatenda dhambi?Dhambi ni laana wanadamu wamerithi kutoka kwa binadamu wa kwanza kabisa kuumbwa na Mungu yaani adam na hawa
Okay, so tayari kila mtu ana dhambi hata kama hajatenda dhambi?
Hivi ni kwanini kufanya DHAMBI ni rahisi sana kuliko kufanya mambo MEMA?
Kuharibu ni rahisi kuliko kutengenezaHivi ni kwanini kufanya DHAMBI ni rahisi sana kuliko kufanya mambo MEMA?
Na hizi ambazo kila siku tunasomaYesu ndio ondoleo la dhambi tulisha samehewa lkn kwa maana tusitende dhambi tena
Naomba unipe list ya dhambi anazomaanisha mtoa madaBecause, if you don't sin, then Jesus died for nothing!!
(For believers)
1. KuziniNaomba unipe list ya dhambi anazomaanisha mtoa mada
Na hizi ambazo kila siku tunasoma
"Nirudieni Mimi enyi binadamu....dhambi zenu zijapokuwa nyekundu... Mimi ni Mungu niyafutaye makosa yenu na kwa ajili yangu sitoyakumbuka tena"
Ni zipi ambazo zinaongelewa.
Kufanya mema ni rahisi kuliko kufanya dhambi ni vile ukifanya memba unakuwa hufeel guilty kama ukifanya dhambi ndo maaana wafanya memba mengi lakini hunote kama umefanya mema.Hivi ni kwanini kufanya DHAMBI ni rahisi sana kuliko kufanya mambo MEMA?