Hivi ni kwa nini hua ipo hivi??

Hunishawishi nikubaliane na wewe! Zamani wakati kulikuwa na maadili hii kitu ilikuwa inawezekana ila kwa sasa sio kweli! kwa hesabu za haraka angalia mfano wa wasanii wetu mtu alikuwa miss kisha akaingia kwenye uigizaji akawa na mwimbaji anaitwa kaamka! mara na almasi kabla ya hapo unaambiwa alikuwa na kanu! Acha wale wanaopiga kimya kimya!

Ukija kwa yule binti anaenda kwa jina la eliza kwa umri wake mpaka afikie miaka 30 jinsi atakavyokuwa ametumika kama ni simu ukiiwasha inakuambia insert SIM card wakati SIM card ipo ndani!

MS kila binadamu ana tabia yake,hatuwezi kufanana wote!sometimes unachokiona sahihi kwa mwenzako kinaweza kua wrong and vice versa
 
Kufuli linalofunguliwa na kila funguo hilo ni kufuli bomu halifai na linashahili kutupwa!(if a lock is opened by many keys..its defective and needs to be replaced)
Funguo inayofungua makufuli mengi hiyo ni MASTER KEY!

"A key that can open many locks is called a master key, but a lock that can be opened by many keys is a shitty lock"

Do hii yako kiboko. Kwa hiyo nyie ni ruksa kupenda, penda, sie no.
 
Wanawake siku zote kwenye maisha wana altenative(mbadala) tofauti na mwanaume, kwanza mwanamke akitambua mmewe ana mahusiano na mwanamke mwingine kwanza anajiringanisha na huyo mwanamke kwa uzuri pili kipato kama yupo chini kwa vyote kiasi fulani huwa anaridhika, kwa mwanaume ni tofauti kabisa hata awe masikini au mbaya
 
Ki uhalisia nyie mpo wachache na sisi tupo wengi kwahiyo wengi wanapoongeza idadi ya kuwapanga wachache huoni ni hatari?

Mimi hiyo ya uwingi wa wanawake siinunui kabisa! Why?
Unless tungekuwa ratio ya 2:1 sawa, lkn tukoje 51% na nyie mko49%! Na hata kama ingekuwa 60% kwa 40% bado kila mkaka akiwa na na wadada wawili maana yake kuna watu au watakosa au watachangia na hivyo kuwafanya kina dada polygamist (sijui kama wanajina lingine)
 
Sa mbona umeuliza swali, kama unatakiwa upamdwe na mmoja tu.

swali langu linahusika vipi na habari za kupandwa?nimeuliza ni kwa nini wanaume hua wagumu kusamehe compared to wanawake hasa kwenye kosa la usaliti?sasa hapa habari za mimi napandwa na wangapi zimekujaje?
 
Wanawake siku zote kwenye maisha wana altenative(mbadala) tofauti na mwanaume, kwanza mwanamke akitambua mmewe ana mahusiano na mwanamke mwingine kwanza anajiringanisha na huyo mwanamke kwa uzuri pili kipato kama yupo chini kwa vyote kiasi fulani huwa anaridhika, kwa mwanaume ni tofauti kabisa hata awe masikini au mbaya

sasa kama wana alternative kwa nini wao ndo wanao ongoza kwa kusamehe??
 
swali langu linahusika vipi na habari za kupandwa?nimeuliza ni kwa nini wanaume hua wagumu kusamehe compared to wanawake hasa kwenye kosa la usaliti?sasa hapa habari za mimi napandwa na wangapi zimekujaje?
Hapo ndo kwenye mitego...hakuna mwanamke anaweza kukubali kupandwa na wanaume wengi hata kama anapandwa, lakini wanaume ukiwauliza watasema wanapenda kupanda wanawake wengi tu.

Sasa lazima ujuwe, wanaume kupanda wanawake wengi ni kitu cha kawaida tu...Lakini mwanamke kupandwa na wanaume wengi sio kitu cha kawaida ni aibu.
 
Hapo ndo kwenye mitego...hakuna mwanamke anaweza kukubali kupandwa na wanaume wengi hata kama anapandwa, lakini wanaume ukiwauliza watasema wanapenda kupanda wanawake wengi tu.

Sasa lazima ujuwe, wanaume kupanda wanawake wengi ni kitu cha kawaida tu...Lakini mwanamke kupandwa na wanaume wengi sio kitu cha kawaida ni aibu.

eti enh?okay..
 
mwanaume hafuniwi anakutwa mwanamke anafumaniwa umeshawahi kujiuliza hili pia?

hua hainiingii akilini,wote hua wanafumaniwa haijalishi ni mwanamke /mwanamume the issue ni kufumaniwa! Kusema mwanaume amekutwa ni kujaribu kuhalalisha kisicho halali.
 
Kwa ilivyokuwa back then...A man has to find a place to raise a family...then he has to go find a wife, pay the bride price and bring the woman home (hapo kwa social implication mwanaume ndiye kiongozi/kichwa cha nyumba).
Now since ever insubordination is a seriously purnishable wrong anywhere.
Kwa hiyo kiongozi akitenda kosa inakuwa ngumu kwa mwanamke kumchukulia hatua ipasavyo kwa sababu
A)FIRST SCENARIO: itamaanisha yeye aondoke, aache watoto arudi kwao na akajitafutie namna ya kufit kwenye nyumba ya baba yake ambayo imeshamove on bila yeye. While back kwenye nyumba aliyomuacha mumewe kuna mwingine keshalipiwa mahari na kuletwa, sasa analea watoto wake (na anawatesa hasa!).
Haya yeye akitenda hivyo;
B)SECOND SCENARIO:atapigwa kipigo kikali ataondoka, aache watoto arudi kwao na akajitafutie namna ya kufit kwenye nyumba ya baba yake ambayo imeshamove on bila yeye. While back kwenye nyumba aliyomuacha mumewe kuna mwingine keshalipiwa mahari na kuletwa, sasa analea watoto wake (na anawatesa hasa!).

What deference do you see? either way the woman will suffer. Sasa kama kufumania adhabu yake sawa na kama wewe ndiye uliyefumaniwa si bora usamehe tu?
Come to our lives today maisha yamebadilika ila bado hiyo dhana iliyojichimbia ndani ya genes zetu wote kuitoa ni shughuli pevu hasa!
 
mmh haya bana but kosa halibadiliki linabaki vile vile(usaliti) either kwa mwanamke au kwa mwanaume sa kwa nini adhabu zinatofautiana?

juu ya adhabu kutofautiana iko hivi wanaume wote wana wivu uliopitiliza, na hii imechangiwa na amri ya mungu mwenyewe kwa wanaume kwamba wapendeni wake zenu. wivu ni kipimo cha unampendaje mtu. ndio maana anapomfumania mkewe ni ngumu san kusamehe kwani hategemei mtu anaye mpenda amfanyie ivyo.
 
Kwa ilivyokuwa back then...A man has to find a place to raise a family...then he has to go find a wife, pay the bride price and bring the woman home (hapo kwa social implication mwanaume ndiye kiongozi/kichwa cha nyumba).
Now since ever insubordination is a seriously purnishable wrong anywhere.
Kwa hiyo kiongozi akitenda kosa inakuwa ngumu kwa mwanamke kumchukulia hatua ipasavyo kwa sababu
A)FIRST SCENARIO: itamaanisha yeye aondoke, aache watoto arudi kwao na akajitafutie namna ya kufit kwenye nyumba ya baba yake ambayo imeshamove on bila yeye. While back kwenye nyumba aliyomuacha mumewe kuna mwingine keshalipiwa mahari na kuletwa, sasa analea watoto wake (na anawatesa hasa!).
Haya yeye akitenda hivyo;
B)SECOND SCENARIO:atapigwa kipigo kikali ataondoka, aache watoto arudi kwao na akajitafutie namna ya kufit kwenye nyumba ya baba yake ambayo imeshamove on bila yeye. While back kwenye nyumba aliyomuacha mumewe kuna mwingine keshalipiwa mahari na kuletwa, sasa analea watoto wake (na anawatesa hasa!).

What deference do you see? either way the woman will suffer. Sasa kama kufumania adhabu yake sawa na kama wewe ndiye uliyefumaniwa si bora usamehe tu?
Come to our lives today maisha yamebadilika ila bado hiyo dhana iliyojichimbia ndani ya genes zetu wote kuitoa ni shughuli pevu hasa!

Strong word PC! Thank u
 
juu ya adhabu kutofautiana iko hivi wanaume wote wana wivu uliopitiliza, na hii imechangiwa na amri ya mungu mwenyewe kwa wanaume kwamba wapendeni wake zenu. wivu ni kipimo cha unampendaje mtu. ndio maana anapomfumania mkewe ni ngumu san kusamehe kwani hategemei mtu anaye mpenda amfanyie ivyo.

na sisi tuliambiwa tuwaheshimu so hata akikupaka mavi unaendelea kumuheshimu tu! This is ridiculous kwa kweli..
 
Back
Top Bottom