Ayatollah the Bird
Member
- Jul 30, 2026
- 88
- 219
Hapa JF kumekuwa na visa nyingi vya watu kuja na nyuz za kujikatia tamaa na wengi wao ni wanaume.hata hapa tanzania wanaume wanaongoza na viza vya kujiua.
Kwa kwel maisha ya mwanaume ni mateso mno ila tufe kishenzi.
Kwa kwel maisha ya mwanaume ni mateso mno ila tufe kishenzi.