Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,099
Jana usiku katika pitapita zangu bar zote za Moshi zilikuwa zimefurika ilivyo kawaida. Nikaambiwa wengi wao ni wageni wamekuja kwenye mbio za kila mwaka maarufu kama Kilimanjaro Marathon.
Sasa cha kushangaza, hadi mida ya wanga wakimbiaji hao waliendelea kutwanga maji, monde, pombe nk. Nikajiuliza hyo alfajiri wataweza kweli kukimbia?
Au hizi mbio ni za kujifurahisha tu? Wenyeji na wenye uzoefu njooni mtujuze...
Sasa cha kushangaza, hadi mida ya wanga wakimbiaji hao waliendelea kutwanga maji, monde, pombe nk. Nikajiuliza hyo alfajiri wataweza kweli kukimbia?
Au hizi mbio ni za kujifurahisha tu? Wenyeji na wenye uzoefu njooni mtujuze...