Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Habari wana jukwaa.
Tangu kuibuka kwa hili gonjwa linalosababishwa na virus vya Corona binadamu kote duniani wamekuwa wakiweka jitihada mbalimbali za kupambana na ugonjwa huo ili kuhakikisha umetoweshwa kabisa.
Lakini tangu wanasayansi waupe jina huu ugonjwa kumeibuka mkanganyiko mkubwa wa jinsi ya kuandika hilo jina .
Kuna kundi la watu wanaandika COVID-19( yaani COVID dashi 19) na kundi jingine wamekuwa wakiandika COVID19.
Je yupi yupo sahihi hapo?
Karubuni kwa mjadala.
Tangu kuibuka kwa hili gonjwa linalosababishwa na virus vya Corona binadamu kote duniani wamekuwa wakiweka jitihada mbalimbali za kupambana na ugonjwa huo ili kuhakikisha umetoweshwa kabisa.
Lakini tangu wanasayansi waupe jina huu ugonjwa kumeibuka mkanganyiko mkubwa wa jinsi ya kuandika hilo jina .
Kuna kundi la watu wanaandika COVID-19( yaani COVID dashi 19) na kundi jingine wamekuwa wakiandika COVID19.
Je yupi yupo sahihi hapo?
Karubuni kwa mjadala.