britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,644
- 30,007
Hakuna Rais aliyekuws anaogopwa Tanzania kama Mwl Nyerere.
Kama sifa ya udikteta ni kuogopwa basi Mwl. Nyerere alikuwa ni dikteta.
Kikubwa zaidi yeye aliamua hata kuondoa kwenye katiba kifungu kinachohusu haki za binadamu.
Yeye aliingia madarakani kwa njia ya vyama vingi lakini alipoapishwa akaamua kufuta vyama vingi lakini cha kushangaza zaidi, alipong'atuka kutokana na nchi kuelekea kufirisika, akaamua kuwalazimisha wengine waanzishe mfumo wa vyama vingi.
Ninakuhakikishia kama utawala wa Mwl. Nyerere ungekuwa ndio kwa sasa, hata hawa wanaosema Rais Mgufuli ni dikteta wasige thubutu hata kutamka maneno wanayotamka.
Huwa ninawashangaa sana watu wanajaribu kujenga hoja kuhusu haki za binadamu kwa kutumia kioo cha utawala,wa Mwl. Nyerete.
Kwa hiyo kama ni udikteta, basi tumwangalie Rais Magufuli kwa kutumia kioo cha matendo ya Mwl. Nyerere wakati akiwa Rais wa Tanzania.
Kwangu mimi sioni tofauti ya kuvunja katiba au kuibadilisha katiba na kuwa katika msingi wa udikteta.
Mwl. Nyerere alikuwa anaibadilisha katiba ili kuimarisha udikteta wake huku akidai ni kosa kuvunja katiba. Mwl. Nyerere hakuhitaji kuvunja katiba kwa sababu alikuwa na uwezo wa kuibadilishaapendavyo.
Kwa waliomuona mwalimu Nyerere, mwalimu Magufuli haijafika hata robo ya matendo ya madikteta, lakin mwalimu Nyerere alikuwa na sifa nyingi za madikteta wazuri
Kama sifa ya udikteta ni kuogopwa basi Mwl. Nyerere alikuwa ni dikteta.
Kikubwa zaidi yeye aliamua hata kuondoa kwenye katiba kifungu kinachohusu haki za binadamu.
Yeye aliingia madarakani kwa njia ya vyama vingi lakini alipoapishwa akaamua kufuta vyama vingi lakini cha kushangaza zaidi, alipong'atuka kutokana na nchi kuelekea kufirisika, akaamua kuwalazimisha wengine waanzishe mfumo wa vyama vingi.
Ninakuhakikishia kama utawala wa Mwl. Nyerere ungekuwa ndio kwa sasa, hata hawa wanaosema Rais Mgufuli ni dikteta wasige thubutu hata kutamka maneno wanayotamka.
Huwa ninawashangaa sana watu wanajaribu kujenga hoja kuhusu haki za binadamu kwa kutumia kioo cha utawala,wa Mwl. Nyerete.
Kwa hiyo kama ni udikteta, basi tumwangalie Rais Magufuli kwa kutumia kioo cha matendo ya Mwl. Nyerere wakati akiwa Rais wa Tanzania.
Kwangu mimi sioni tofauti ya kuvunja katiba au kuibadilisha katiba na kuwa katika msingi wa udikteta.
Mwl. Nyerere alikuwa anaibadilisha katiba ili kuimarisha udikteta wake huku akidai ni kosa kuvunja katiba. Mwl. Nyerere hakuhitaji kuvunja katiba kwa sababu alikuwa na uwezo wa kuibadilishaapendavyo.
Kwa waliomuona mwalimu Nyerere, mwalimu Magufuli haijafika hata robo ya matendo ya madikteta, lakin mwalimu Nyerere alikuwa na sifa nyingi za madikteta wazuri