pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Makamba una haha kujipa promo.....wakati unaibu waziri tu unakushinda.....wananchi wanaibiwa fedha zao na makampuni ya simu, wewe hata habari ya kuwatetea huna....leo unautaka urais kwa lipi hasa?
Mie huwa najiuliza hili swali kila siku, huyu unaibu uwaziri tu hajafanya lolote ETI anataka uraisi! nani alimwambia anafaa kutuongoza? kwa lipi? baba yake nae hakuwa na historia nzuri alipokuwa mkuu wa mkoa hasa hapa dsm!