hosen mmakonde
Senior Member
- Oct 13, 2014
- 139
- 77
katika wajinga ambao wanafikilia kwa kutumia makalio basi wewe ndo namba mojaNi dhambi kubwa kumrubuni Mzee Ruksa akuandikie Foreword ili nawewe mtu ambaye huna lolote kwenye utumishi wa Taifa hili ili tu uonekane unaweza. Januari jitendee haki, huna sifa hizo ambazo unajaribu kujivalisha. Kwanza kwenye Serikali ijayo hata ukishinda ubunge sioni kama utakuwepo kwenye baraza la mawaziri.