Hivi ndivyo mume wa mtu alivyoumbuka!

Duuh huyo malaya alichukua alikua ni shemale nini???

Inakuaje atekenywe taarabu yake na manzi alikua malaya na sio mke wa mtu aisee??
 
Duuh huyo malaya alichukua alikua ni shemale nini???

Inakuaje atekenywe taarabu yake na manzi alikua malaya na sio mke wa mtu aisee??
Hakuwa shemale mkuu,demu kabla ya kukutana na jamaa alikuwa na majamaa wengine wawili ambao nao ni wageni eneo hili.
Baada ya tukio hata wale jamaa nao walitoweka.
 
Huyo hakuwa baharia, mgeni huyo

Mabaria tunatumia akili sana , hatunyonyi maziwa wala shingo na tunawaweka mbuzi kangoma kwenda mwanzo mwisho, ila uwe na ndomu imara zaidi
 
Huyo hakuwa baharia, mgeni huyo

Mabaria tunatumia akili sana , hatunyonyi maziwa wala shingo na tunawaweka mbuzi kangoma kwenda mwanzo mwisho, ila uwe na ndomu imara zaidi
Kwenye umalaya lolote laweza tokea!
 
Hahahaaaa daaahhh mabaharia wanapitia mengi
Yanawakuta sana mkuu,ila hawasemi
Kuna mwingine alikula ngoma ya mtu,alipomaliza tu ndunga ikabaki imesimama tu,asubuhi ndunga vilevile akaanza kulia
 
Jamaa alikuwa na tabia akitoka kazini jioni anapitia bar anaopoa malaya anakula mzigo upesi anarudi nyumbani.
Kutokana na kuwahi kwake nyumbani mke akajenga imani nae.
Siku ya tukio,jamaa kama kawaida katoka kazini kapitia bar kakuta kuna malaya mpya,hakumkawiza akapeleka LUGHA,haooo kwenye bodaboda wakazama gesti.
Saa saba usiku mke anapigia simu watu wa karibu mmewe hajarudi.Piga simu kote inapodhaniwa anaweza kwenda majibu hatujamwona.
Asubuhi likaanza zoezi la kumtafuta akaonekana saa saba yupo gesti hajitambui tena uchi na nyuma sijui kafanywa nini
Akapelekwa nyumbani akaitwa daktari amtibie palepale.
Amepona ila valangati limebaki na mkewe

NB:wazinzi tuendelee tu hizi ni AJALI tu kama ajali zingine zilizozoeleka
Mabaharia inabidi tukutane tufanye kikao cha dharura Otherwise tutaendelea kudharirika na kuaibika na kupotea ama kufa kama uyu Baharia mwenzetu
Uyu mwamba kaliwa jicho lodge alipokwenda na demu/malaya, jana kuna Baharia mwenzetu(R.I.P) huko Mbezi Makabe kageuzwa ndafu(kachomwa moto ndani ya nyumba hadi kufa) baada ya kwenda nyumbani kwa demu wake
Tutafute Venue nyingine ambayo ni Salama kwetu. Naomba kuwasilisha
 
Huyo hakuwa baharia, mgeni huyo

Mabaria tunatumia akili sana , hatunyonyi maziwa wala shingo na tunawaweka mbuzi kangoma kwenda mwanzo mwisho, ila uwe na ndomu imara zaidi
Hiyo staili nayo ni hatari kama umeshusha suruali magotini.Weye unapiga libeneke halafu manzi anaendelea kukusachi mifukoni.Ndiyo.Si umemsogezea mifuko jirani.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Baharia wa wapi huyo
Buza
JamiiForums1789215862.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom