Hivi ndivyo jinsi majirani zetu wanavyotuongelea kuhusu Corona

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Eburu Presenter: Kauli ya Rais kuwa tuchape kazi, corona ni kitu cha kawaida, Mungu atatuongoza. Kauli ya Rais Magufuli imestua hata Shirika la Afya Duniani. Tanzania ni majirani zetu, ugonjwa ukisambaa Tanzania Kenya hatuwezi kuukwepa.

Ki historia Tanzania ni kama nchi inayoongozwa na Mwalimu Mkuu ambae anafanya maamuzi yote. Kwakufupi Magufuli anatuambia fanyeni yenu na mimi ninapiga mziki nikiwa ninafanya yangu. Lakini haya yataishia kwenye kilio.

Hata kama tunamtegemea Mungu tuwe na busara, huwezi kufanya maamuzi ya ovyo ukitegemea Mungu atakulinda.

 
HOW COVID-19 KILLS--I'm a Surgeon--And Why We Can't Save You



Source : Duc C. Vuong MD

N.B
Gonjwa la Covid-19 lipo hivyo tuzingatie maelekezo tunayopewa na Wizara ya Afya jinsi ya kujikinga na corona kwa kufuata hatua hizi rahisi : epuka misongamano, kukumbatiana, kusogeleana , epuka kuwa abiria wa bodaboda, nawa mikono mara kwa mara kwa maji yanayotiririka n.k
 
Eburu Presenter: Kauli ya Rais kuwa tuchape kazi, corona ni kitu cha kawaida, Mungu atatuongoza. Kauli ya Rais Magufuli imestua hata Shirika la Afya Duniani. Tanzania ni majirani zetu, ugonjwa ukisambaa Tanzania Kenya hatuwezi kuukwepa.

Ki historia Tanzania ni kama nchi inayoongozwa na Mwalimu Mkuu ambae anafanya maamuzi yote. Kwakufupi Magufuli anatuambia fanyeni yenu na mimi ninapiga mziki nikiwa ninafanya yangu. Lakini haya yataishia kwenye kilio.

Hata kama tunamtegemea Mungu tuwe na busara, huwezi kufanya maamuzi ya ovyo ukitegemea Mungu atakulinda.

View attachment 1405938
Uliyeleta post hii utakuwa kwenye siku zako umeshindwa kumpa burudani Mme wako
 
Kenya Leo wamefika wagonjwa 81
Rwanda wamefika 70
Sisi 20
Sioni msaada wa lockdown hapo.
Halafu mleta mada acha ujinga,ulitaka Rais aseme watu wasifanye kazi wakae tu wanaisubiri corona?
Kwani korona inakuletea chakula nyumbani?
Italy watu wamefungiwa ndani kila siku wanakufa zaidi ya 800 sisi wapiga misele tumezika mmoja tu.
 
Kenya Leo wamefika wagonjwa 81
Rwanda wamefika 70
Sisi 20
Sioni msaada wa lockdown hapo.
Halafu mleta mada acha ujinga,ulitaka Rais aseme watu wasifanye kazi wakae tu wanaisubiri corona?
Kwani korona inakuletea chakula nyumbani?
Italy watu wamefungiwa ndani kila siku wanakufa zaidi ya 800 sisi wapiga misele tumezika mmoja tu.
Huu mwezi ukiisha tutakuwa tumeshajua mbichi na mbivu,,huu mwezi wa nne Ni muhimu sana
 
Kenya Leo wamefika wagonjwa 81
Rwanda wamefika 70
Sisi 20
Sioni msaada wa lockdown hapo.
Halafu mleta mada acha ujinga,ulitaka Rais aseme watu wasifanye kazi wakae tu wanaisubiri corona?
Kwani korona inakuletea chakula nyumbani?
Italy watu wamefungiwa ndani kila siku wanakufa zaidi ya 800 sisi wapiga misele tumezika mmoja tu.
Tuna vifaa vya kutosha vya kupimia? Tumeshapima wangapi? Inawezekana hao 20 is not an accurate number.
 
Back
Top Bottom