Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Eburu Presenter: Kauli ya Rais kuwa tuchape kazi, corona ni kitu cha kawaida, Mungu atatuongoza. Kauli ya Rais Magufuli imestua hata Shirika la Afya Duniani. Tanzania ni majirani zetu, ugonjwa ukisambaa Tanzania Kenya hatuwezi kuukwepa.
Ki historia Tanzania ni kama nchi inayoongozwa na Mwalimu Mkuu ambae anafanya maamuzi yote. Kwakufupi Magufuli anatuambia fanyeni yenu na mimi ninapiga mziki nikiwa ninafanya yangu. Lakini haya yataishia kwenye kilio.
Hata kama tunamtegemea Mungu tuwe na busara, huwezi kufanya maamuzi ya ovyo ukitegemea Mungu atakulinda.
Ki historia Tanzania ni kama nchi inayoongozwa na Mwalimu Mkuu ambae anafanya maamuzi yote. Kwakufupi Magufuli anatuambia fanyeni yenu na mimi ninapiga mziki nikiwa ninafanya yangu. Lakini haya yataishia kwenye kilio.
Hata kama tunamtegemea Mungu tuwe na busara, huwezi kufanya maamuzi ya ovyo ukitegemea Mungu atakulinda.