Hivi ndivyo Jimmy Carter alivyobaki. Ndiyo tujue sasa dunia haina urafiki

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,362
11,249
Jimmy Carter ni rais wa Marekani wa 39 ambaye mnamo oktoba 1 mwaka 2023 alikuwa akisherehekea miaka yake 99 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1924.

Rais huyo mstaafu alitwala Marekani kuanzia mwka 1977 mpaka 1981.

Miongoni mwa mafanikio ya utawala wake ilikuwa ni kufanikisha kutiiana saini ya kurejesha uhusiano kati ya Israe na Misri mnamo mwaka 1979.

Kwa sasa Raisi huyo amepelekwa kwenye nyumba zenye huduma za afya za kuhudumia wazee baada ya kupata maradhi ya saratani isiyotibika tena.

Katika umri huo Jimmy Carter ndiye raisi aliyewahi kuishi miaka mingi zaidi na aliyebaki hai muda mrefu zaidi baada ya kuondoka madarakani.

Muhimu kwa binadamu wengine ni kujifunza kwamba katika maisha inafika muda heshima zote zinaondoka na hata marafiki binafsi, urasimu wa kimadaraka vinaisha na kuonekana mzigo na familia na kutokuwa na umuhimu wowote wa kutafutwa ushauri kutoka ofisi uliyoihudumia.

Inafika wakati vyakula vyote vizuri unavimiliki lakini hata ukivitumia havibadilishi afya ya mwili.

Dawa zozote za kutibu za hali ya juu haziwezi tena kutibu maradhi yanayokupata.

1714503319820.png
1714496706489.png
1714496618385.png
 
A point of correction. Jimmy carter yupo kwenye hospice care, nyumbani kwake.

Yeye na mkewe waliamua wasitunzwe tena na familia zao, sasa Atafiki daktari maalum au muuguzi kuwatunza wao.

Kwasasa ana terminal disease. Any time annaweza kututoka, kwa maono yake yeye.

Yupo kwake na mkewe ila anatunzwa na wauzui hajaenda kwenye nyumba ya wazee. Ila tu anahitaji muda wake, na Mungu na Matibabu ya kawaida. He is at the end.

Ila pia huyu bwana bado alikua anatumika na serikali hasa bunge na. Ushauri mbali mbali.

Alionekana hata mwaka jana kabla hajafika 99, kwenye vikao mbalimbali.
 
A point of correction. Jimmy carter yupo kwenye hospice care, nyumbani kwake.

Yeye na mkewe waliamua wasitunzwe tena na familia zao, sasa Atafiki daktari maalum au muuguzi kuwatunza wao.

Kwasasa ana terminal disease. Any time annaweza kututoka, kwa maono yake yeye.

Yupo kwake na mkewe ila anatunzwa na wauzui hajaenda kwenye nyumba ya wazee. Ila tu anahitaji muda wake, na Mungu na Matibabu ya kawaida. He is at the end.

Ila pia huyu bwana bado alikua anatumika na serikali hasa bunge na. Ushauri mbali mbali.

Alionekana hata mwaka jana kabla hajafika 99, kwenye vikao mbalimbali.
Kwa sasa yuko peke yake akimsubiria Izraeli aichukue roho yake. Mke wake alishatangulia tayari mbele ya haki.
 
Jimmy Carter ni rais wa Marekani wa 39 ambaye mnamo oktoba 1 mwaka 2023 alikuwa akisherehekea miaka yake 99 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1924.

Rais huyo mstaafu alitwala Marekani kuanzia mwka 1977 mpaka 1981.

Miongoni mwa mafanikio ya utawala wake ilikuwa ni kufanikisha kutiiana saini ya kurejesha uhusiano kati ya Israe na Misri mnamo mwaka 1979.

Kwa sasa Raisi huyo amepelekwa kwenye nyumba zenye huduma za afya za kuhudumia wazee baada ya kupata maradhi ya saratani isiyotibika tena.

Katika umri huo Jimmy Carter ndiye raisi aliyewahi kuishi miaka mingi zaidi na aliyebaki hai muda mrefu zaidi baada ya kuondoka madarakani.

Muhimu kwa binadamu wengine ni kujifunza kwamba katika maisha inafika muda heshima zote zinaondoka na hata marafiki binafsi, urasimu wa kimadaraka vinaisha na kuonekana mzigo na familia na kutokuwa na umuhimu wowote wa kutafutwa ushauri kutoka ofisi uliyoihudumia.

Inafika wakati vyakula vyote vizuri unavimiliki lakini hata ukivitumia havibadilishi afya ya mwili.

Dawa zozote za kutibu za hali ya juu haziwezi tena kutibu maradhi yanayokupata.

View attachment 2977746View attachment 2977693View attachment 2977691

Sasa unamtisha nani bro tafuta hela
 
Hakuna Cha ajabu hapo, Hakuna asiyejua kuwa tutazeeka tutakufa
Jimmy Carter ni rais wa Marekani wa 39 ambaye mnamo oktoba 1 mwaka 2023 alikuwa akisherehekea miaka yake 99 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1924.

Rais huyo mstaafu alitwala Marekani kuanzia mwka 1977 mpaka 1981.

Miongoni mwa mafanikio ya utawala wake ilikuwa ni kufanikisha kutiiana saini ya kurejesha uhusiano kati ya Israe na Misri mnamo mwaka 1979.

Kwa sasa Raisi huyo amepelekwa kwenye nyumba zenye huduma za afya za kuhudumia wazee baada ya kupata maradhi ya saratani isiyotibika tena.

Katika umri huo Jimmy Carter ndiye raisi aliyewahi kuishi miaka mingi zaidi na aliyebaki hai muda mrefu zaidi baada ya kuondoka madarakani.

Muhimu kwa binadamu wengine ni kujifunza kwamba katika maisha inafika muda heshima zote zinaondoka na hata marafiki binafsi, urasimu wa kimadaraka vinaisha na kuonekana mzigo na familia na kutokuwa na umuhimu wowote wa kutafutwa ushauri kutoka ofisi uliyoihudumia.

Inafika wakati vyakula vyote vizuri unavimiliki lakini hata ukivitumia havibadilishi afya ya mwili.

Dawa zozote za kutibu za hali ya juu haziwezi tena kutibu maradhi yanayokupata.

View attachment 2977746View attachment 2977693View attachment 2977691
 
Back
Top Bottom