Royal Tour
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 250
- 452
Ndugu yangu hata Kama unaipenda Sana Iran umepitiliza, hata video tu huoni?Mbona sasa hujaeleza namna alivyouwawa
Badala yake umeishia kupuyanga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakija wakina halfan watakuambia hiyo ilikuwa mvua ya mawe halafu wataanza matusi
Wangekua noma vile visima vya mafuta visingepigwa, na drone yao isinge dunguliwa.
Ilikuwa Kama mvua ya mabomuDah huyu sniper alikuwa hatari, kila aliyetaka kutoroka alikula shaba
Endelea kuwadanganya Iran ili tuendelee kuona inavyopigwaWangekua noma vile visima vya mafuta visingepigwa, na drone yao isinge dunguliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi risasi inawekwa sumu, rangi ya nyuklia au milipuko midogomidogo
Hakuna cha sniper hapo wala ndege haina rubani. Watu wanalenga shabaha kwa coordinates tu.Dah huyu sniper alikuwa hatari, kila aliyetaka kutoroka alikula shaba
Shaba (Metalic Copper) sio explosive hivyo hailipuki. Labda uweke swali lako sawa lieleweke.
Nimeona video aisee, yaan huwezi kukwepa paleDah huyu sniper alikuwa hatari, kila aliyetaka kutoroka alikula shaba
hahaha noma sana looks like call of duty modern warfare death from above mission but this is realJanuari 3 Pentagon ilitangaza kuwa ilimuua Jenerali Qasem Soleimani
View attachment 1313882
huyo kufuatia agizo la rais Donald Trump.
Kifo chake kimetelezwa kwa ustadi mkubwa ili kuhakikisha Jenerali Qaseem hatoki salama maana Marekani wanautambua uwezo wake mtu huyo kwenye medani za vita.
Inaelezwa Qasem Soleimani alikuwa kiongozi wa kikosi maalum cha jeshi la ulinzi wa Iran nje ya nchi kinachofahamika kama Quds na alikuwa kiungo muhimu katika kampeni zote za kijeshi za Iran kwenye mataifa ya kigeni, na kuwa waziri wake wa Mambo ya nje linapokuja suala la vita na amani.
Kifo cha jenerali Qaseem ni pigo kubwa kwa nchi ya Irani na imeapa kulipa kisasa kwa tukio hilo.
Mkuu nilpoona tu KICHWA CHA UZI nikaanza kufungua nikijisemea "Huyu Kama hajaweka video atakuwa ametupotezea muda"Januari 3 Pentagon ilitangaza kuwa ilimuua Jenerali Qasem Soleimani
View attachment 1313882
huyo kufuatia agizo la rais Donald Trump.
Kifo chake kimetelezwa kwa ustadi mkubwa ili kuhakikisha Jenerali Qaseem hatoki salama maana Marekani wanautambua uwezo wake mtu huyo kwenye medani za vita.
Inaelezwa Qasem Soleimani alikuwa kiongozi wa kikosi maalum cha jeshi la ulinzi wa Iran nje ya nchi kinachofahamika kama Quds na alikuwa kiungo muhimu katika kampeni zote za kijeshi za Iran kwenye mataifa ya kigeni, na kuwa waziri wake wa Mambo ya nje linapokuja suala la vita na amani.
Kifo cha jenerali Qaseem ni pigo kubwa kwa nchi ya Irani na imeapa kulipa kisasa kwa tukio hilo.