Mberoya
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 1,314
- 822
Kwahiyo miaka yote ya serikali ya CCM kuibia walipa kodi mabilioni hukuona kama ni wizi zaidi ya CDM?Utoto wa mjini ndio kuwa mwizi?
Kwahiyo miaka yote ya serikali ya CCM kuibia walipa kodi mabilioni hukuona kama ni wizi zaidi ya CDM?Utoto wa mjini ndio kuwa mwizi?
Wewe ungeleta yote uone chama gani kinaongoza kwa wizi.Mimi nimeleta ya CHADEMA, hayo ya CCM ni kazi yako kuyaleta.
Kwa hiyo kama mahesabu ya CCM ni mabovu ndiyo inahalalisha pia mahesabu ya CHADEMA kuwa mabovu.
Huu ujinga umejifunzia wapi?
Tatizo lako hujui kama hizi ni pesa za walipa kodi na sio za wanachama wa CHADEMA pekee.Tangu lini bwana CCM wakaitakia mema chadema? Nenda ukahoji ya ccm na sio chadema. Nyumbu wewe
Mimi nimeleta ya CHADEMA, hayo ya CCM ni kazi yako kuyaleta.
Kwa hiyo kama mahesabu ya CCM ni mabovu ndiyo inahalalisha pia mahesabu ya CHADEMA kuwa mabovu.
Huu ujinga umejifunzia wapi?
Pesa walizo kwiba ccm miaka yote hukuona kwamba ni za walipa kodi? Sikosei wewe unakwepa kulipa kodi mwizi tu..huna lolote!Tatizo lako hujui kama hizi ni pesa za walipa kodi na sio za wanachama wa CHADEMA pekee.
Kama unataka tusiwahoji CHADEMA basi waambie waache kuchukua pesa za ruzuku za vyama kutoka hazina ya Taifa.
Uliwauliza ccm walipoiba ruzuku walirudisha hazina?Tatizo lako hujui kama hizi ni pesa za walipa kodi na sio za wanachama wa CHADEMA pekee.
Kama unataka tusiwahoji CHADEMA basi waambie waache kuchukua pesa za ruzuku za vyama kutoka hazina ya Taifa.
Point of corrections ( mi sio mshamba). Kwanza nakupongeza umejitahidi kujenga hoja tofauti na huyo mjinga hapo juu., Mtanzania1989 najua unajua kuwa chadema ni taasisi, chadema ni zaidi ya mbowe, kwa namna yeyote kanuni hatamruhusu yeye binafsi kupata mkopo bank bila signatories za wanachama wengine.Acha ushamba, huelewi maana ya conflict of interest, Msechu wa NHC analala Kisutu saivi kwa makosa haya haya, alikuwa anajipa tenda yeye mwenyewe na mke wake, Ukiruhusu huu ujinga, Mbowe ana uwezo wa kwenda kukopa bank kwa riba ndogo halafu anakuja kuikopesha CDM kwa riba kubwa, mwisho wa siku ruzuku haionekana kwa kuwa inaishia kulipa wizi wa Mbowe.
Kwahiyo ni sawa kutetea uhalifu wa ccm ambao ni mkubwa zaidi, lakini siyo kwa cdm? Msiwe wanafiki! Wizi hupo ccm na huko ndipo Magufuli anawashugulikia kwa kelele za cdm.Mberoya unajua kwa nini wanazi wa CDM wanaitwa nyumbxxx? Samahani sana ila wewe ni mfano hai kwa hilo, mwenye akili timamu hawezi tetea upuuzi kama huu.
Kama ulijua kuna watetezi sasa unashangaa nini? Unapendekeza nini hadi hapo?Nilijua tu watetezi wa aina yako watajitokeza.
Kwa hiyo viongozi wa CHADEMA wanalipiza kile ambacho kimefanywa na serikali ya CCM!
Hizi ni fikra za karai!
Kwa mtindo huu wakipewa hazina yote ya taifa itakuwaje?
Unataka kutetea nini hapo?Kwamba CCM iachwe tu iendelee kutawala kwa sababu mahesabu ya CDM hayajakupendezeni?Hapa ndipo utajua rangi halisi za hawa wahuni
Watetezi wote wamekuja na hoja kwamba ccm wanaiba
Kwa chama kinachotaka kukamata dola,wizi kama huu,hakifai kuchaguliwa kabisa
Point of corrections ( mi sio mshamba). Kwanza nakupongeza umejitahidi kujenga hoja tofauti na huyo mjinga hapo juu., Mtanzania1989 najua unajua kuwa chadema ni taasisi, chadema ni zaidi ya mbowe, kwa namna yeyote kanuni hatamruhusu yeye binafsi kupata mkopo bank bila signatories za wanachama wengine.
Mkuu kiuhalisia huitetei CDM ila unazidi kuichafua, huwezi sema CDM wana haki ya kuiba kwa kuwa kuna wengine walishawahi kuiba serikalini, huo si utetezi ni kuzidi kuipaka matope tu. Kuna malalamiko mengi ya ruzuku ya CDM kuishia Makao Makuu Ufipa na kwa wajanja wachache. Hadi leo CDM hawana ofisi ya Makao Makuu sababu ya ruzuku sehemu kubwa inatumika kulipia haya madeni, usitetee ujinga hauisaidii CDM bali unazidi kuibomoa.Kwahiyo ni sawa kutetea uhalifu wa ccm ambao ni mkubwa zaidi, lakini siyo kwa cdm? Msiwe wanafiki! Wizi hupo ccm na huko ndipo Magufuli anawashugulikia kwa kelele za cdm.
Mkuu, Mbowe kujikopa mwenyewe ni sababu ya upungufu wa rasilimali watu? Kweli ukipenda, chongo utaona kengeza.hakuna chama chenye hesabu zilizokamilika kamwe. tuwekee mahesabu ya ccm tuone. binafsi naamini haya mapungufu ni kwa sababu ya ukosefu wa raslimali watu na sio kingine. zingine ni propaganda.
Labda kama hujaelwa nilichozungumza, plz jaribu kusoma tena hoja yangu.Kwa hiyo taasis ndio inakopeshwa na kiongozi wa taasis, Magu leo akitoa tenda kwa kampuni yake binafsi kwa kazi za serikali utaona ni sawa? Msechu wa NHC anashinda Kisutu saivi kwa kosa hili hili, kwa nini kwa Mbowe iwe sahihi?
Hakuna ushaidi kwamba cdm wameiba, unaleta pumba tu. Hatahivyo, vyama vyote duniani vina mapungufu. Vyama ni watu wasiyo wakamilifu, kwahiyo husitegemee umalaika! Lakini ccm imezidi kuiba mpaka kura za wananchi wanabeba!Mkuu kiuhalisia huitetei CDM ila unazidi kuichafua, huwezi sema CDM wana haki ya kuiba kwa kuwa kuna wengine walishawahi kuiba serikalini, huo si utetezi ni kuzidi kuipaka matope tu. Kuna malalamiko mengi ya ruzuku ya CDM kuishia Makao Makuu Ufipa na kwa wajanja wachache. Hadi leo CDM hawana ofisi ya Makao Makuu sababu ya ruzuku sehemu kubwa inatumika kulipia haya madeni, usitetee ujinga hauisaidii CDM bali unazidi kuibomoa.
Unaambia watu ni panya ili uonekane una mtetea Mbowe na genge lake.Nenda kaishtaki CDM Mahakamani...acha u snitch panya wewe