Habari zenu wana JF?
Leo naomba nishee nanyi aina na vigezo za yule nitayekuwa nae maishani
1) Awe mpole na mtulivu: Namaanisha asiwe mtu muongeaji saana kwana hata mm nipo very polite
2) Awe na maadili mazuri: Namaanisha awe amepata malezi yaliyo mazuri na awe mke mwenye kuijali na kuihishim ndoa yake
3)Hajawahi kuwa boyfriend/mpenzi katika maisha yake: Nasema hivi kwa sababu sina ujasiri hata kidogo wa kuvumilia iwapo mke nimemuoa halaf nakuta jamaa wameshakata kila kitu mm napenya tu! (Namtimua cku hiyo hiyo)
4) Asiwe mtu wa mitandao: Nasema hivi kwa sabab wimbi kubwa la wadada saa hizi maadili yao yamepotezwa na mitandao na ndio maana wakikosa wa mitaani hubugia huko mitandaoni (zaidi kwenye kufesibuka na bila ya kuisahau badoo) na wale wanaotupia insta hawanifai
5) Si lazima awe na elimu ya juu!! Sababu yeye ata play her role as muangalizi wa familia nyumbani kwa hiyo elimu ya kawaida, tu inatosha Ahsanteni
Nawasiliaha!
Leo naomba nishee nanyi aina na vigezo za yule nitayekuwa nae maishani
1) Awe mpole na mtulivu: Namaanisha asiwe mtu muongeaji saana kwana hata mm nipo very polite
2) Awe na maadili mazuri: Namaanisha awe amepata malezi yaliyo mazuri na awe mke mwenye kuijali na kuihishim ndoa yake
3)Hajawahi kuwa boyfriend/mpenzi katika maisha yake: Nasema hivi kwa sababu sina ujasiri hata kidogo wa kuvumilia iwapo mke nimemuoa halaf nakuta jamaa wameshakata kila kitu mm napenya tu! (Namtimua cku hiyo hiyo)
4) Asiwe mtu wa mitandao: Nasema hivi kwa sabab wimbi kubwa la wadada saa hizi maadili yao yamepotezwa na mitandao na ndio maana wakikosa wa mitaani hubugia huko mitandaoni (zaidi kwenye kufesibuka na bila ya kuisahau badoo) na wale wanaotupia insta hawanifai
5) Si lazima awe na elimu ya juu!! Sababu yeye ata play her role as muangalizi wa familia nyumbani kwa hiyo elimu ya kawaida, tu inatosha Ahsanteni
Nawasiliaha!