ndio wanatoa ni ngazi ya chini kabisa kwa wanaoanza kuitafuta CPA T kigezo cha kusoma ni form fourHabari Wana jukwaa naomba kuuliza hivi NBAA huwa wanatoa cheti Cha atec 1 Kwa maana Kuna nafasi za kazi zimetoka za msaidizi wa hesabu daraja la pili za MDA and LGA wanahitaji mtu mwenye atec 1 ya NBAA