Jamani naomba kuwauliza, me nimeomba kozi kupitia Tcu but ktk uwombaji nilijaziwa na kaka yangu, my fist kozi kiukweli sijapendezewa nayo. Je ikitokea nimechaguliwa kozi hiyo nina uwezo wa kuibadilisha na kusoma kozi nyengine ktk chuo husika ambacho nimechaguliwa? Naomba majibu ma great thinkers