jknhfdd Member Apr 4, 2017 74 49 Nov 5, 2019 #1 Kila ninapo pita mtandaoni nakutana na matangazo ya hawa Wakenya wanauza Odds 200 za betting kwa 75,000 wengine 80,000 na wanasema ushindi ni 100℅. Nataka kujua kama kuna mtu amewahi lipia akashinda.
Kila ninapo pita mtandaoni nakutana na matangazo ya hawa Wakenya wanauza Odds 200 za betting kwa 75,000 wengine 80,000 na wanasema ushindi ni 100℅. Nataka kujua kama kuna mtu amewahi lipia akashinda.
avogadro JF-Expert Member Apr 30, 2013 7,322 12,732 Nov 5, 2019 #2 jknhfdd, Lipia kama hizo mechi watacheza wenyewe na marefa watakuwa wenyewe
Tate Mkuu JF-Expert Member Jan 24, 2019 28,374 81,823 Nov 5, 2019 #3 Watumie kwanza hiyo pesa ili uone kama utashinda au la, halafu uje utupe mwenyewe mrejesho.
mkorinto JF-Expert Member Jun 11, 2014 30,703 37,316 Nov 5, 2019 #4 common sense. kama wana uhakika na odds zao wabetie badala ya kuuza.
C CRYPT JF-Expert Member Jan 26, 2014 328 673 Nov 5, 2019 #5 Vitu vingine huitaji hata kuingia darasani kujua kama hao jamaa ni matapeli. Maisha sio rahisi namna iyo
Vitu vingine huitaji hata kuingia darasani kujua kama hao jamaa ni matapeli. Maisha sio rahisi namna iyo
Papaa Gx JF-Expert Member Oct 10, 2016 10,089 15,670 Nov 5, 2019 #6 Acha uzembe fikirisha akili yako, hizo odd kama ni kweli kwann wao wasiweke wapate pesa mingi zaidi.