Hivi mzee Bilali kazi yake ni nini hasa???

Hivi mzee Bilali kazi yake ni nini hasa???

habibu bakili

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2012
Posts
202
Reaction score
51
kwa ninavyoelewa cheo cha makamu wa raisi kina mamlaka makubwa sana kikatiba. lakini mbona huyu mzee wetu naona yuko tu anazurura hovyo na hakuna lolote la maana analolifanya zaidi ya kuzindua warsha tu kila siku???
au ni mimi tu ndio sielewi labda hii ndio kazi yake kama makamu wa raisi (kuzindua warsha/makongamano/semina/majengo)???
 
kwa ninavyoelewa cheo cha makamu wa raisi kina mamlaka makubwa sana kikatiba. lakini mbona huyu mzee wetu naona yuko tu anazurura hovyo na hakuna lolote la maana analolifanya zaidi ya kuzindua warsha tu kila siku???
au ni mimi tu ndio sielewi labda hii ndio kazi yake kama makamu wa raisi (kuzindua warsha/makongamano/semina/majengo)???

Kuzindua miradi.
 
kazi yake yake kubwa ni kukata utepe kwenye baadhi ya ufunguzi wa sherehe na uzinduzi wa vitu fulani,
 
mzee wa uzinduzi....angalia mfukoni mwake utakutana na boooooonge la MKASI
 
kta viongozi wanaonichefua ni huyu baba, mi naonaga hana kazi ya kufanya ni kuzurura tuu, maswala ya msingi ya kitaifa humuoni, ivi we mzee kazi yako kubwa n nini, ninavyokuchukia sijui ka nini, we umeteuliwa ili uwe unatufungulia miradi, badilika
 
Huyo ni Senior Government MKATA UTEPE..Duh,yani hata mimi kumbe naweza kua Vise President.
 
kutembea na mkasi mfukoni kila jengo akilikuta linautepe kazi yake ni kuukata. Anakula pesa yetu bure tu ya kodi
 
kwa ninavyoelewa cheo cha makamu wa raisi kina mamlaka makubwa sana kikatiba. lakini mbona huyu mzee wetu naona yuko tu anazurura hovyo na hakuna lolote la maana analolifanya zaidi ya kuzindua warsha tu kila siku???
au ni mimi tu ndio sielewi labda hii ndio kazi yake kama makamu wa raisi (kuzindua warsha/makongamano/semina/majengo)???

Kazi mbona anazo tu sema hiyo uliyotaja nayo ni sehemu ya kazi yake. yeye ni makamu wa rais, anakaimu kazi zote za rais, au kazi za rais huzijui? Rais akisafiri nani anabaki analead isue za kirais pale magogoni?
 
Bilali ni mzee wa....

14677scissors.jpg
 
Back
Top Bottom