Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
Hakuna shida braza..enhee nini kiliendelea baad ya hapoKwani kunashida gani ndugu?
Hakuna shida braza..enhee nini kiliendelea baad ya hapoKwani kunashida gani ndugu?
Alitaka ambiwe nipige denda basi baby.-🔞 bongo raha sana
Wengine hatuna tawile najijua kabisa naaibu Tena ikiwa ni zoezi la kuangaliana na pisi kali ndo kabisa nisingeweza! Inataka moyo kuliangalia tu ua zuri.. Hapo ningetililisha vituko tu siwezi face pisi kali kwa 1 minutes na yenyewe inaniface Labda niwe nimemzoea sanaaaaaaaa huyo mi ningemwambia njoo nikunong'obeze akinisogezea ushavu busu la maana halafu namwambia ndo tushaangaliana hivyo!..Kwa akili zako hata meno ungemuachia