Kwa hiyo mkuu umekaa ukafikiria ukasema acha niyaulize haya manyumbu ya JF yatakuwa na majibu?
Huyu jamaa katudharau saana.mkuu katuona sisi kama manyumbu tutajua walichoambiana
Mkuu acha hizo kamuulize ulishindwa nini kumuuliza! Unafikiri sisi tutaingia kichwani pake tujue!... Okay ngoja nikuulize kitu unamda nae kiasi gani toka umemfahamu..??Kivipi
Dogo ameshakuzi tayari maana umeshindwa kucheza na akili yake au kumteka mpaka akuambie alikuwa ana maanisha nini!Hamna alichonizidi ndugu nilichokuwa nafanya ni kumwachia ahisi kwamba she is controlling the pitch ndio maana nilimkubalia ingawa sikujua kwamba alikua anamaana gani
This appeared just today ,that's why I need your experienceDogo ameshakuzi tayari maana umeshindwa kucheza na akili yake au kumteka mpaka akuambie alikuwa ana maanisha nini!
Ili udili naye japo sio kwa nguvu ila kwa mazungumzo tu tena yenye hekima na sio lazma kwa wakati huo hata wakati mwingne. Sasa unakuja kutuuliza sisi ambao hata hatumjui huyo kigonywa wako
Ingalikuwa ni Mimi ningembusulia mbali hukoNa wewe kwa akili zako ukakubali kuangaliana..!!..kazi kweli kweli
-🔞 bongo raha sanaDah nakazia.
Kwa akili zako hata meno ungemuachiaIngalikuwa ni Mimi ningembusulia mbali huko
Huyu jamaa katudharau saana.