MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Salaam Wanamjavi,
Natumai wote mu wazima wa afya tele.
Mara nyingi nasikia CHADEMA wakijinadi kwenye majukwaa yao kuwa "WALIANZA NA MUNGU NA WANAMALIZA/WATAMALIZA NA MUNGU, swali ninalojiuliza, ni mungu yupi huyo?
Mungu wa CHADEMA ni yupi huyo?
Natumai wote mu wazima wa afya tele.
Mara nyingi nasikia CHADEMA wakijinadi kwenye majukwaa yao kuwa "WALIANZA NA MUNGU NA WANAMALIZA/WATAMALIZA NA MUNGU, swali ninalojiuliza, ni mungu yupi huyo?
- Anayependa Machafuko.
- Aanayependa Uongo,Ufisadi na utapeli.
- Anyependa wizi wa wake za watu.
- Anayependa mauaji ya watu wasio na hatia kwa ajili ya siasa.
- Anayependa Ubaguzi wa DINI, KABILA, RANGI etc
Mungu wa CHADEMA ni yupi huyo?