Hivi Mungu wa CHADEMA ni yupi?

Hivi Mungu wa CHADEMA ni yupi?

Muulize Mbowe alipewa shilingi ngapi kuuza chama......hapo jibu utalipata.
Swali hujenga taswira ya mtu alivyo, yaani Mbowe kila siku inatajwa alipewa hela na Lowassa lakini nyie wasemaji hamjui hata kiasi alichopewa, kwa nini tusiamini kwamba huo ni uzushi?
 
Kama wewe unajijua kwamba ni mwanaume halafu kuna mzushi mmoja mtaani kwenu anakazana kueneza uvumi kwamba wewe ni mwanamke, unakanusha ili iweje? Mbowe anakanushaje jambo ambalo halikuwepo!
Kwahiyo wewe ukiitwa mwanamke unauchuna?
Angalia usijiaibishe. Unawaonesha uume wanaoambiwa wewe mwanamke ili anayezusha aambiwe wewe ni mwanaume. Ukinyamaza inaashiria kinachosemwa ni kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom