Yes he is...hapa ndo waasia/arabs wanapotuacha...kuwahi kurudi ni wajibu sasa hiyo fatherhood exercise unaifanya saa ngapi?,rudi afu toka tena jirani, kama kuna bomoa bomoa ujipange na wenzako...au kuna ka vitz ka blue kanakujakuja kwa home pia wakuhabarishe..
Are u serious mkuu?