Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Mackanackyyy

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2019
Posts
2,338
Reaction score
5,277
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?

Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...na nani ni zero brain, mxieeew!
 
We mtu wewe, unajua mbavu hazinaga spare?
 
Subirini muone nyie vijana
 
Hahaha haaaaa haaaaa haa Wanyama wame fanyaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…