Kusema ni kama kabila nakataa. kama ni mtanzania na hauna kusajili wa mzanzibari mkaazi kuna haki huwezi kuwa nazo Zanzibar.Uzanzibar sio uraia ni uzawa tu au kama kabila vile. Wazanzibar ni Watanzania kiurai.. kuhusu kuomba Uzanzibar sijui
Umechanganya madawa! Uraia vs Ukaazi. Tanzania haina raia wa aina mbili. Wazanzibar na wabara wote ni watanzania. Kama unataka kuruhusiwa kumiliki ardhi Zanzibar basi unatakiwa kutimiza masharti ya kuwa mkaazi wa Zanzibar! Hizi ni moja ya sheria tata za muungano wetu lakini madhali zipo basi zifuatwe au zibadilishwe.Kuna hii ishu ya watu wa bara kutoruhusiwa kumiliki ardhi Zanzibar. Je mtu wa bara anaweza kuomba uraia ili awe na haki kama mzanzibari mkazi?
Wanacheza tu na lugha na technicalities za sheria. Kama mimi ni mtanzania na mzanzibari ni mtanzania. Na katibu inasema nina haki ya kwenda na kuishi kokote ikiwa nipamoja na kumiliki mali iweje nizuiliwe zanzibar?Umechanganya madawa! Uraia vs Ukaazi. Tanzania haina raia wa aina mbili. Wazanzibar na wabara wote ni watanzania. Kama unataka kuruhusiwa kumiliki ardhi Zanzibar basi unatakiwa kutimiza masharti ya kuwa mkaazi wa Zanzibar! Hizi ni moja ya sheria tata za muungano wetu lakini madhali zipo basi zifuatwe au zibadilishwe.
Yes.kwa sababu bank wanapohitaji collateral,hawaangalii kuwa ni mzanzibar or mbara.bali wanaangalia legal aspects za hiyo collateralUnaweza kutumia umiliki wako kukopa benki?