Kama bado mna kumbukumbu nzuri huyu Mama alikuwa mbele sana kutetea haki za Watanzania na Waaandishi wa habari, sijamsikia muda mrefu sasa, sijui yuko wapi? Angetufaa sana kwenye hiki kipindi cha KATIBA MPYA na vile vile kwenye hili suala la mauaji yanayofanywa na JESHI LA POLICE AND SERIKALI YAKE.