Bwajilo
JF-Expert Member
- Dec 5, 2021
- 345
- 880
Nimeshangaa kuona kuna watu wana likes zaidi ya laki na nikashangaa wengine hawana hata likes 20 hawana na ukute account ina miaka 10.
Sasa mimi ni wakuja humu, najua Kuna wenyewe ombi langu utakaefanikiwa kusoma uzi huu Mimi nakuomba like hii post kama utashindwa kutoa mbinu gani nitumie nibust like zangu kama mlivyo wenzangu.
Sasa mimi ni wakuja humu, najua Kuna wenyewe ombi langu utakaefanikiwa kusoma uzi huu Mimi nakuomba like hii post kama utashindwa kutoa mbinu gani nitumie nibust like zangu kama mlivyo wenzangu.