Tuangalie pande zote mbili, huyu mwanafunzi ametoka wapi na kukutana na kiongozi wa dini, 'maana mabinti nao/wanafunzi nao wanamitego yao ya ajabu sana' kiongozi wa dini ni mwanadamu kama mwanaume mwingine yeyote! ila hili swala la dhamana nafikiri wanasheria watusaidie kufafanua.....ili tusitafakari kitu ambacho kimefata mtitiriko wote unaotakiwa..matokeo yake tukaonekana tunachangia kitu tusichokielewa. Hizi ni nyakati za mwisho, ni kweli kabisa..tuwe macho!!!
Yule kiongozi wa kanisa anayetuhumiwa kumpa ujauzito mwanafunzi ameachiwa kwa dhamana na polisi,
Polisi hao wamejitetea kuwa wamelazimika kufanya hivyo kwa sababu huyu ni kiongozi wa kiroho na kuendelea kumshikilia ni jambo la aibu,
Tatizo hapa sio kumwachia, ila je upelelezi unaofanyika hataweza kuualibu? na je usarama wake dhidi ya wazazi wa huyo mtoto umeakikishwaje?
Na je, ni wametuhumiwa wangapi wenye kosa kama hili, wako ndani na kesi zao mpaka sasa ni kipindi kirefu hazijaanza kusikilizwa?
Hapa haki iko wapi????!!!!
Tuangalie pande zote mbili, huyu mwanafunzi ametoka wapi na kukutana na kiongozi wa dini, 'maana mabinti nao/wanafunzi nao wanamitego yao ya ajabu sana' kiongozi wa dini ni mwanadamu kama mwanaume mwingine yeyote! ila hili swala la dhamana nafikiri wanasheria watusaidie kufafanua.....ili tusitafakari kitu ambacho kimefata mtitiriko wote unaotakiwa..matokeo yake tukaonekana tunachangia kitu tusichokielewa. Hizi ni nyakati za mwisho, ni kweli kabisa..tuwe macho!!!
Kuna dhamana inayotolewa na polisi. Kisheria ipo
Tuwaombe wanasheria watusaidie, hata uchunguzi haujakamilika dhamana inatolewa kweli?
Dhamana inaweza kutolewa wakati uchunguzi unaendelea, inaruhusiwa kisheria
Bwana Mateso ebu angalia pointi za hawa jamaa, Fugwe,na mpita njia, wasaidie maana naona wewe una uelewa mkubwa zaidi wa masuala haya.Polisi wanatakiwa wamkamate na kumtia ndani kwa ubakaji hauna dhamana. Hakimu lazima kavuta kitu kikubwa.
eeeeeeeeeeh ww wa wapi?anglikana wanaruhusiwa kuoa bwana,kwani umeskia anglikana ni roman?Inashangaza, lakini wa kulaumiwa ni Papa John paul II, walimuomba waoe akakataa, nafikiri ni wakati muafaka waruhusiwe kuoa, labda itasaidia kupunguza haya matukio.
Fuateni ninayowaelekeza msifuate ninayoyatenda
Inashangaza, lakini wa kulaumiwa ni Papa John paul II, walimuomba waoe akakataa, nafikiri ni wakati muafaka waruhusiwe kuoa, labda itasaidia kupunguza haya matukio.
ndo maana nimemkataza kabisa mke wangu kuwa karibu na hawa watumishi si waaminifu, baadhi lkn maana najua hapo nitashambuliwa, lkn kwakuwa huwezi kumtambua basi inabidi akae nao mbali wote ila hii inajitokeza za sasa hivi ila hata wazungu ndo walioanzisha haya soma kitabu kile cha wakati huo (lawino)Kiongozi inabidi awe mfano kwa wengine, kama kiongozi wa kanisa anatia mimba watoto wa watu sasa waumini wa kawaida watakuwaje ? au wamfuate nani ? wakati kiongozi wa kanisa yupo hivyo !!