Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
- Thread starter
- #21
Nazungumzia ule mkavu. Maua au majani ya kukausha.Nakujibi kwa kukuuliza swali;
Kwa mfano, mlenda umepikwa kwa bamia na msusa!
Tuje kwenye virutubisho;
Je, ni virutubisho gani ambavyo vinapatikana kwenye bamia na msusa ( mboga za majani za kijani)? au hakuna virutubisho vyovyote?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app