WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
...duuuuuh, ha ha ha...VC huyo ana hila,...anaye anayemchekesha akiwa nje ya nyumba
Mi nadhani njia nzuri ni kusemezana... mwanaume ukiona mkeo kanuna..muulize kwa upole tu... usijifanye kichwa ngumu ..uondoke kwenda kwenye kinwaji na kujichekesha kwa mabaamedi.Ukifanya hivyo unaongeza tension..na ukizoea hivyo kumtia simanzi mkeo ujue shida hujiandika usoni.Mkeo atapata wa kumchekesha na yeye.Siku hizi kuna technolojia...mobile phones, internet kama hivi... hivyo basi bora ku minimise risks!
Ukiona humtaki bora umwache mapemaaa!