Mnaniboa sana nyie wanaume mnaojidai kutafuta wachumba kwa kuweka sifa ambazo mtadhan hao wadada nyie ndo mnawaumba,eti mara nataka mchumba awe na hips kubwa,mara mweupe,sijui masaburi makubwa,mara sijui matiti yakoje,mara eti wa kunipoza moyo.Najiulza hv mnakuwa na nia ya kupata wachumba au mnatafuta wa kuchezea tu na hapo ndipo napata mashaka na uwezo wenu wa kutongoza kwsbb haiwezekani jamii yote inayokuzunguka ukose unae mtaka.Mnaboa sana yan mnatufanya wadada kama vile bidhaa fulan dukani,acheni hizo!!