Anaogopa kula mb za kuchati na mwanafunzi mwenzake.Si uingie kwenye website ya TRC mzee?
😆😆😆Wakuu hivi ile Tren ya kwenda Moshi iliyofufuliwa na magufuli bado ipo?
Maana mnajua mwezi huu Wachaga wengi huenda makwao kuhesabiwa.....
Ipo inafanya kazi au ndo basi tena wahuni washafanya yao?
Nahis ulitaman usikie haipo tena .Nitakwenda na gari yangu
Mimi nimeuliza nijuwe km ule mradi ulikufaga au lah
Ushasikia atcl inakufaWakuu hivi ile Tren ya kwenda Moshi iliyofufuliwa na magufuli bado ipo?
Maana mnajua mwezi huu Wachaga wengi huenda makwao kuhesabiwa.....
Ipo inafanya kazi au ndo basi tena wahuni washafanya yao?
Mm nilipanda August mwaka huu ilikua inafanya kazi na ilikua vizuri sasa sijajua kwa mwezi huu labda ufike ofisi zaoMbona naskia haifany kaz