Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,080
- 6,030
Kwani tunachagua Spika kwa kuangalia CHAMA au uwezo wake wa kufanya kazi za USPIKA?, Katiba ya CHADEMA inakataza kumpigia Kura mgpmbea asiye chama cha CHADEMA?
Kwani huyu ni nani jamani mbona mie simjui?