Hivi mbunge huyu wa Chadema hajampigia kweli kura Anne makinda?

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,080
6,030
ndesa_makinda.jpg


HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania
 

Mazingira

JF-Expert Member
May 31, 2009
1,833
297
Mods, fanyeni ukarabati kidogo kwenye hii picha ni kubwa sana.
Ila kweli inaonekana kampa kura yeke huyu.
 

mzalendo2

Senior Member
Oct 28, 2010
119
5
hawa wabunge wa chadema inaonesha wanapenda kumbatiwa au kukumbatia maspika ?


jee wenyewe kwa wenyewe mkumbatio wao ukoje ?

na jee hii haioneshi kua hawa wako karibu zaidi na ccm kuliko cuf?
 

Averos

JF-Expert Member
Aug 6, 2010
933
619
Kwani tunachagua Spika kwa kuangalia CHAMA au uwezo wake wa kufanya kazi za USPIKA?, Katiba ya CHADEMA inakataza kumpigia Kura mgpmbea asiye chama cha CHADEMA?
 

Skype

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
7,266
1,626
mara nyingi hua nakua mgeni hasa linapokuja suala la kuintapret picha:doh:
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom