Mmea Jr
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 970
- 2,273
🤣🤣🤣🤣 kuna jamaa mmoja humu aliwakuja na hii nadharia .
" Watu woteeeeee tuliomo kwenyee hii dunia ni wafungwa , yan dunia ni gereza na sisi binadamu wotee pamoja na viumbe vingine vyote vilivyomo duniani ni wafungwa ni vile tu tumetolewa kumbumbuku zetu za huko tulipo kuwa awali na hatukumbuki hasa ni makosa gani yalipelekea tujaja kwenye hili gereza (dunia) , kwamba tupo humu kutimiza muda wa vifungo vyetu na hatimae tutarudi zetu huko tulikokuwa awali .
Hivyo huwezi kupata furaha ukiwa gerezani hivyo vyote ulivyofanya kama sijui kusoma sanaa na utakavyofanya vitakusaidia tu just to kill time ukisubilia muda wako wa kifungo uishe uondoke zako.
" Watu woteeeeee tuliomo kwenyee hii dunia ni wafungwa , yan dunia ni gereza na sisi binadamu wotee pamoja na viumbe vingine vyote vilivyomo duniani ni wafungwa ni vile tu tumetolewa kumbumbuku zetu za huko tulipo kuwa awali na hatukumbuki hasa ni makosa gani yalipelekea tujaja kwenye hili gereza (dunia) , kwamba tupo humu kutimiza muda wa vifungo vyetu na hatimae tutarudi zetu huko tulikokuwa awali .
Hivyo huwezi kupata furaha ukiwa gerezani hivyo vyote ulivyofanya kama sijui kusoma sanaa na utakavyofanya vitakusaidia tu just to kill time ukisubilia muda wako wa kifungo uishe uondoke zako.