Hivi Mariamu Ditopile (MB) ni mtoto wa yule Ditopile Mzuzuri aliyesababisha ajali pale Lugalo Kawe?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,947
141,927
Nauliza tu wasifu wa huyu mbunge wa viti maalumu, Mariam Ditopile mjumbe wa kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya bunge la JMT.

=======

FB_IMG_1630478901505.jpg

Pichani; Mariam Ditopile kushoto wakati akikabidhi mifuko 100 kama msaada
 
Nauliza tu wasifu wa huyu mbunge wa viti maalumu, Mariam Ditopile mjumbe wa kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya bunge la JMT.

=======


Pichani; Mariam Ditopile kushoto wakati akikabidhi mifuko 100 kama msaada
Ditopile alisababisha ajali? Weka facts zako sawa. Alimpiga dereva wa daladala aliemletea ujuaji risasi ya kichwa kwa hasira.
 
Back
Top Bottom