Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

Kinachonikera ni kukuta taasisi fulani ya wizara imejaa masters na PHD holders lakini huoni efficiency inayoendana na titles unazokutana nazo.

Bado njoo kesho ni ugonjwa wetu. Bado movement ya mafile haina kasi kubwa. Mazingira ya uwepo wa rushwa bado yapo.

Uhalalishaji wa taaluma za watu wala hauonekani kuwepo. Hoja ya kwamba titles za wasomi wetu kuwa ni za magumashi, inapata nguvu kwa aina ya utendaji wa taasisi nyingi za kiserikali.
 
Daktari Purofesa Bansen Bana....wa Sayansi ya Siasa. Siasa zake zimekaa tenge. Baada ya REDET yake (na Mkandala) "kufilisika" amebaki kufwagilia chama fulani bila kujali weledi wa Taaluma yake...
 
Daktari Purofesa Bansen Bana....wa Sayansi ya Siasa. Siasa zake zimekaa tenge. Baada ya REDET yake (na Mkandala) "kufilisika" amebaki kufwagilia chama fulani bila kujali weledi wa Taaluma yake...
Hawa wapuuzi kila siku nasema wanafundisha ujinga. Eti wanasayansi hawanui lugha.huwezi reason kama huja master !ugha angalau moja,, reasoning huwa inabase katikapremises za msingi axioms.Na kujenga hoja katika vitu vya hakika.. Sishangai kwanini Addis Ababa ukweli umejidhihiri. Hujui lugha hujui usemalo.
 
Hawa wapuuzi kila siku nasema wanafundisha ujinga. Eti wanasayansi hawanui lugha.huwezi reason kama huja master !ugha angalau moja,, reasoning huwa inabase katikapremises za msingi axioms.Na kujenga hoja katika vitu vya hakika.. Sishangai kwanini Addis Ababa ukweli umejidhihiri. Hujui lugha hujui usemalo.
Dah kwakilichotokea Adis Ababa ni aibu... nawaza tu tunaadhibiwa au?
 
Kinachonikera ni kukuta taasisi fulani ya wizara imejaa masters na PHD holders lakini huoni efficiency inayoendana na titles unazokutana nazo.

Bado njoo kesho ni ugonjwa wetu. Bado movement ya mafile haina kasi kubwa. Mazingira ya uwepo wa rushwa bado yapo.

Uhalalishaji wa taaluma za watu wala hauonekani kuwepo. Hoja ya kwamba titles za wasomi wetu kuwa ni za magumashi, inapata nguvu kwa aina ya utendaji wa taasisi nyingi za kiserikali.
Ndio maana hata hata mzee wako mwenye PhD ya korosho anatia huruma!!! title na usomi alionao anatenda mithili ya mtu ambaye hajawahi kanyaga madarasa ya sekondari.... Elimu haijamkomboa mtu mweusi bado.....
 
Dah kwakilichotokea Adis Ababa ni aibu... nawaza tu tunaadhibiwa au?
Wapuuzi was kibongo huwa nakasirika wakisema wanasayansi hawajui lugha. Newton ,Einstein walikuwa philosophers na washairi. Ndio maana theories na laws zao zilikuwa very clear and distinctive . sisi watu hawajui tofauti ya ugari na ugali, lake na rake, light na right,lice na rice. Wanaongea bila aibu wala kujishtukia. Kuna mengi ya kimaadili hawawezi Fanya.
 
Nimejaribu sana kufuatilia PHD za US na Maprof wao..Aisee watu wanapigika sana paper zao kuwa published ktk journals za kueleweka.Watu wote wanapigika hadi wanaonyesha kiwango na weledi ndio wanapita.Si weupe,si wekundu,si wa njano na hata weusi..wengine hadi wanakimbilia kusema ni ubaguzi wa rangi..ila wakipita huwa wanaonyesha hiyo mambo haswa ktk real life.Hapa Bongo naona design km watu wanachukua tuu gamba..labda tuu km kuna siasa ndio zinawakwamisha.Kuna watu wa uchumi,Political science,vyuo vipya km vinapiga promo kwa staff wao fasta fasta fulani.Hivi kuna hizo journal ambazo haziwezi kuwa influenced kisiasa kweli?
Aisee kwel wangekuwa wanafanya kama mbele ingesadia wengi kuona kaz zao ila sema vilaza wasingepenya aisees
 
Aisee kwel wangekuwa wanafanya kama mbele ingesadia wengi kuona kaz zao ila sema vilaza wasingepenya aisees
sasa wanakuja na sababu za miaka ile eti video no edited. Sijui wanamdanganya nani tena, kuna faida gani kudanganya watz wakati dunia inakuchora na itawaambia watanzania tuu.
 
unamkuta PhD holder kutwa anazungukia redio/TV stations (chanel10, azam halafu itv) kisha anapitia TWAWAWEZA halafu HAKIyaELIMU anamalizia na baa na ku-bet. Ataandika pepa saa ngapi?
 
Mkuu,

kwa mara ya kwanza nimeona swala legit kabisa. This is a very good question. It seems kama watanzania tungekuwa tunauliza maswali Kama haya tusingekuwa tunachezewa akili na Hawa Watu wanaojiita wasomi. Kiukweli majority ya PHD holders wetu hawajaandika popote. Wengi ni wasanii tupu. Hata hao associate professors unakuta publications Zao ni kidogo mno na wamepublish kwenye journals za hapa hapa TZ ambazo kiukweli hawawezi kukataliwa. Wengi wanapenda kuitwa Dr? So and so lakini hawajui Kama it requires more to earn that title. The negative side ni kwamba hata watoto wetu tunawafundisha short cuts za maisha. Mf. Sijawahi ona msomi wetu hapa bongo kapublishi kweny journal ya uhakika Kama Harvard Law Review, Yearbook za ukweli....I mean Mifano ni mingi...huko kwenye medics, engineering nk. The point is journals Kama hizi mpaka paper yako ipite Uwe published........unajua kweli....I have earned that accolade. In all wabongo wengi wetu bado sana....ndo maana hata uprofesa wetu ni ujanja ujanja kwa kufahamiana.

again swala lako ni zuri sana.
mh mnapenda kuongea vitu kwa hisia bila ushahidi.huo ni uongo wa asabuhi kabisa.nitakupa mfano kwenye uende kwenye who colletion of pepars utaona,ingiaHINARI, PUBMED, LANCET, BMC na mengine mengiutawaona watanzania kama prof matee, prof lyamuya, prof au dr nyindo, dr manyahi, dr sam, nk. acheni kupotosha wat nyie ndio wavivu kusomana ndiomaana hamuwajui scholars. vijana tukitaka kulisaidia taifa tusiishi maisha ya kufikirika na ya kuzusha mambo.
 
Nimejaribu sana kufuatilia PHD za US na Maprof wao..Aisee watu wanapigika sana paper zao kuwa published ktk journals za kueleweka.Watu wote wanapigika hadi wanaonyesha kiwango na weledi ndio wanapita.Si weupe,si wekundu,si wa njano na hata weusi..wengine hadi wanakimbilia kusema ni ubaguzi wa rangi..ila wakipita huwa wanaonyesha hiyo mambo haswa ktk real life.Hapa Bongo naona design km watu wanachukua tuu gamba..labda tuu km kuna siasa ndio zinawakwamisha.Kuna watu wa uchumi,Political science,vyuo vipya km vinapiga promo kwa staff wao fasta fasta fulani.Hivi kuna hizo journal ambazo haziwezi kuwa influenced kisiasa kweli?
Mimi nina mashaka na nyinyi mnaohoji kama kweli ni watu makini. Mimi sina PhD wala sio Professor lakini nimesha publish paper zangu nne kama unataka kuzisoma zipo kwenye journals mbali mbali unachohitaji ni kujua aidha URL zangu au kama hiyo journal ipo open basi ingia kwenye internet alafu andika jina langu linalotumika kwenye citation unaanza na jina la ukoo likifuatia na jina la kwanza alafu jina la baba.
 
Ndio maana hata hata mzee wako mwenye PhD ya korosho anatia huruma!!! title na usomi alionao anatenda mithili ya mtu ambaye hajawahi kanyaga madarasa ya sekondari.... Elimu haijamkomboa mtu mweusi bado.....
Yule mwenye elimu ya sanaa alikuwa ni mbuzi anayeuzwa kwa mlio, na wenye akili wapatao milioni nane wakaona ni bora huyu huyu mtaalam wa kemia kuliko kuingizwa choo cha kike.
 
Hivi mtu Kama Kitila Mkumbo utamweka ktk kundi lipi? maana anatia Huruma!!!!
https://scholar.google.com/citations?user=6WanKo0AAAAJ&hl=en

Title1–20 Cited by Year
Teachers' Commitment to, and Experiences of, the Teaching Profession in Tanzania: Findings of Focus Group Research
KAK Mkumbo
International Education Studies 5 (3), 222
22 2012
The application of Intervention Mapping in developing and implementing school-based sexuality and HIV/AIDS education in a developing country context: The case of Tanzania
K Mkumbo, H Schaalma, S Kaaya, J Leerlooijer, J Mbwambo, G Kilonzo
Scandinavian journal of public health 37 (2_suppl), 28-36
18 2009
What Tanzanian parents want (and do not want) covered in school-based sex and relationships education
KAK Mkumbo, R Ingham
Sex Education 10 (1), 67-78
15 2010
Content analysis of the status and place of sexuality education in the national school policy and curriculum in Tanzania
KAK Mkumbo
Educational Research and Reviews
13 2009
Teachers’ attitudes towards and comfort about teaching school-based sexuality education in urban and rural Tanzania
KA Mkumbo
Global journal of health science 4 (4), 149
12 2012
Perceived University Students' Attributions of Their Academic Success and Failure
KAK Mkumbo, J Amani
Asian social science 8 (7), 247
12 2012
Prevalence of and factors associated with work stress in academia in Tanzania
KA Mkumbo
International Journal of Higher Education 3 (1), 1
8 2013
Parents' views and attitudes towards school-based sex and relationships education in rural and urban Tanzania
K Mkumbo, FD Tungaraza
Papers in Education and Development, 171-188
8 2007
Assessment of HIV/AIDS knowledge, attitudes and behaviours among students in higher education in Tanzania
K Mkumbo
Global public health 8 (10), 1168-1179
7 2013
What Tanzanian young people want to know about sexual health; implications for school-based sex and relationships education
KAK Mkumbo
Sex Education 10 (4), 405-412
6 2010
Adolescence and school learning
IM Omari, KAK Mkumbo
Dar es Salaam University Press
6 2006
An exploration of the psychosocial factors affecting the development and delivery of school-based sex and relationships education in Tanzania
KAK Mkumbo
University of Southampton
5 2008
Using concept maps to elicit and study student teachers’ perceptions about inclusive education: a Tanzanian experience
S Wormnæs, K Mkumbo, B Skaar, Y Refseth
Journal of Education for Teaching 41 (4), 369-384
2 2015
Drawing AIDS: Tanzanian teachers picture the pandemic. Implications for re-curriculation of teacher education programmes
L Wood, N De Lange, K Mkumbo
Perspectives in Education 31 (2), 1-13
2 2013
Content Validity of National Examinations in Assessing the Curriculum Objectives in Tanzania
KAK Mkumbo
Journal of Education, Humanities and Sciences
2 2012
Correlates of teachers' attitudes towards and comfort in teaching school-based sex education in urban and rural Tanzania
KAK Mkumbo
Papers in Education and Development, 57-76
2 2010
Students’ attitudes towards school-based sex and relationships education in Tanzania
KAK Mkumbo
Health Education Journal 73 (6), 642-656
1 2014
Factors Associated with Teachers' Motivation and Commitment to Teach in Tanzania
KAK Mkumbo
Journal of Educational Sciences and Psychology 3 (1)
1 2013
Reflections on the 2010 National Form Four Examinations in Tanzania: debunking the myths
K Mkumbo
Papers in Education and Development, 46-60
1 2012
Trends and Issues in Basic Education
K Mkumbo, Z Mgalla, R Shukia, B Kanukisya
Achieving Education for All: Dilemmas in System-Wide Reforms and Learning ...
 
Hata vitabu vyao vin amakosa mengi sana ya kifikra, kiuandishi, na hata kimaana.Na waliopitia ku hariri wengine huwa hawaoni kwa sifa zakijinga ziwezi hariri habari ya gwiji..sijui SHivji etc ambao wameshindwa pita test ya hapa JF tuu.
Umeshawahi kuwa Editor wa scientific paper yoyote ya mtanzania ambayo inategemea kuwa published kwenye scientific journal
 
Mkuu,

kwa mara ya kwanza nimeona swala legit kabisa. This is a very good question. It seems kama watanzania tungekuwa tunauliza maswali Kama haya tusingekuwa tunachezewa akili na Hawa Watu wanaojiita wasomi. Kiukweli majority ya PHD holders wetu hawajaandika popote. Wengi ni wasanii tupu. Hata hao associate professors unakuta publications Zao ni kidogo mno na wamepublish kwenye journals za hapa hapa TZ ambazo kiukweli hawawezi kukataliwa. Wengi wanapenda kuitwa Dr? So and so lakini hawajui Kama it requires more to earn that title. The negative side ni kwamba hata watoto wetu tunawafundisha short cuts za maisha. Mf. Sijawahi ona msomi wetu hapa bongo kapublishi kweny journal ya uhakika Kama Harvard Law Review, Yearbook za ukweli....I mean Mifano ni mingi...huko kwenye medics, engineering nk. The point is journals Kama hizi mpaka paper yako ipite Uwe published........unajua kweli....I have earned that accolade. In all wabongo wengi wetu bado sana....ndo maana hata uprofesa wetu ni ujanja ujanja kwa kufahamiana.

again swala lako ni zuri sana.
Mmmh mkuu embu toa statistics.......Maana kuna wengi tuu pia wana publication kwenye internation journal
 
Back
Top Bottom